ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
KILA la kheri na ma ibada yenu huko Chato sijui GamboshiMimi nimewapa angalizo la bakora za karmaMakamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
Wanabodi, Mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa "Karma", na nimekuwa nikikihubiri mara nyingi tuu humu jukwaani kuwa karma ndio the power pekee ambayo hutoa hukumu ya haki hapa duniani, kwenye karma, mtu unaadhibiwa au kuhukumiwa kwa mawazo, maneno na matendo yako, karma haina mswalie Mtume, wala...www.jamiiforums.com
P
Hapo ndo utajua kwamba Chadema walishindwa uchaguzi kwa haki baada ya Watanzania kuwakataa kwenye sanduku la kuraChama chako hakitambui uchaguzi mkuu uliofanyika October 2020 na kinataka uchaguzi urudiwe. Kama msimamo wa chama ni kurudiwa kwa Uchaguzi, Mnalia haki viti 19 vya Uchaguzi upi?
Maana yake vikao walioka kamati kuu yenu kuazimia kutoutambua uchaguzi na kuweka msimamo wao urudiwe, ninyi mmepuuza vikao hivyo. Hamfai kabisa mnasukumwa na tamaa zenu za madaraka mnarudusha juhudi za chama chenu nyuma kupambania haki za Watanzania.
Hapo ni ukurasa wa ngapi wa ilani yetu yenye kurasa 303Hakika mkuu.View attachment 1635870
Mkuu warudishe tu,mazalau hayavumiliki, mdee ,bulaya mkifukuzwa leo ,kufika next week kila mmoja arudishe fain uliolipiwa kutoka kwa wanachama na wasio wanachama, kwenye account ya CHADEMA, tuliwachangia kwa kupigania haki ,na matatizo yenu yalitugusa mmoja kwa moja, kupitia mlengo wa haki Sasa mmetuona matahila,wajinga, rudisheni iyo pesa vinginevyo sie wapenda haki,tutakutana na wanasheria Kama wataridhia tutawaburuza mahakamani ,mpaka mziteme hizo fedha maana mmekiuka mkataba wa ufadhili huu, Kama mbwai mbwaiUlilazimishwa kuchanga? Au ndo haukuwa unatoa msaada, Ila ulikuwa unanunua uaminifu wao? Kama Ilikuwa ni kununua uaminifu wao, basi amepatikana mwenye dau kubwa😂
Rudi shule ukajifunze kuandika maana sasa hivi elimu ni bure.
Kama jina lako wewe ni sumu na mawazo yako ni sumu.Imagination like always! Yuh guys are not capable of solving even ur own problems, only looking for silly excuses!
Mna lichama la hovyo sana...
Pengine wana fanana tabiaPascal Mayalla ni mtetezi wa hii mianamke isiyokuwa na nidhamu
Mkiambiwa mtoke mkaandamane tu kuonesha kudai haki kwa vitendo hamtoki mnaendelea kujificha tu humu JF halafu leo watu ambao wameshapigwa na kulala jela kwa kudai haki unawaita wasaliti bila aibu.Fukuza tu hao wasaliti wakaungane na vibaraka wengine wa Jiwe.
Uwe unaangalia vibao vya barabarani,ona sasa[emoji23]Ah nlitaka kuingia kwenye ule uzi wa warembo wakali kmbe nmeingia hku ngoja nirudi kule
Ova
😂😂😂😂kweli mkuu hk hatukuwezi siku hiziUwe unaangalia vibao vya barabarani,ona sasa[emoji23]
Sidhani kama mnaweza kukata hiyo sapoti japo ya mitandaoni tu,walibadili gear angani kitu ambacho hamkudhani kama wangethubutu hata kufikiria hivyo ila mwishoni mkaishia kupiga deki.Ni hivi, acha kuwa wachache, hata wakiwa wawili, hilo kundi la wanawake wahuni linapigwa chini, na cdm wakisita kuchukua hatua, ndio wajue support yetu inakata hivyo.
Huko Nairobi DJ alikuwa anakupumulia?DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India
Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?
Isijekuwa matapeli.
Nafikiri kKikao kinaendelea nimewaona wakingia bahali beach hotel.Hata Mbowe hajulikani alipo!
Mbona unateseka hivo bwashee?Hadi sasa haieleweki kama kikao hicho kitafanyika ama la kadhalika uhakika wa akidi kutimia unatia shaka.
Ufipa hali ni shwari na kuna vijana wachache wa BAVICHA ambao kimsingi hawatoi taarifa kama kikao kitakuwepo na kitafanyikia wapi zaidi ya kuwataka wanachama wawe na subira.
Ngoja tuone muda ndio msema kweli.
Maendeleo hayana vyama