4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Sasa mkuu ,wadau na wapenda haki walichangia pitia account za Chama, na chama zipo control number zilizotumika kuwalipia bahada ya michango yetu ya sh mia,mia mbili n.k, that's nimesema Kama wapenda haki, lazima kukaa na wanasheria, wenye fani hii ,wakiridhia kwa gharama zetu, sie tutawaburuza mahakamani ,warudishe hiyo pesa kwenye account ya chama,maana wamevunja mkataba na sisiRist au code za muamala unazo? Maana Sasa mahakama itaaminije kuwa ulichangia bila kuwa na vidhibitisho?
Kwa mtindo huo si kila mtu atajipeleka kuapa ?. Vikao viheshimiweKamati kuu CHADEMA acheni ukilaza. Mlishiriki uchaguzi mkuu mkijua kabisa hautakuwa wa huru na haki. Refer:Uchaguzi serikali za mitaa. Sasa mlishiriki hizo kura mlizopewa mmepata nafasi 19.Waacheni wabunge wakachape kazi bungeni.
Kamati kuu, kamati hovyo tu! Walishirikije uchaguzi wa wabunge na rais wakati walishaelewa chaguzi za mitaa walipokwa? Nao ni tamaa tu!Chama chako hakitambui uchaguzi mkuu uliofanyika October 2020 na kinataka uchaguzi urudiwe. Kama msimamo wa chama ni kurudiwa kwa Uchaguzi, Mnalia haki viti 19 vya Uchaguzi upi?
Maana yake vikao walioka kamati kuu yenu kuazimia kutoutambua uchaguzi na kuweka msimamo wao urudiwe, ninyi mmepuuza vikao hivyo. Hamfai kabisa mnasukumwa na tamaa zenu za madaraka mnarudusha juhudi za chama chenu nyuma kupambania haki za Watanzania.
UsiogopeNenda wewe ukashtaki basi! Naona Kama unatuma mtu, ila vizuri ungeenda wewe!
Alafu amwachie nani Chama chake?Mwenyekiti Mbowe alipaswa ajiuzulu mapema kabisa ili kulinda heshima ya chama lkn mpaka sasa yupo ktk nafasi hii kwakweli hutumuelewi kabisaa!
yeye ndiye chanzo cha haya yote
Sasa wewe utakuwa na tofauti gani na wakina mdee kwa sababu leo hii mnawapigia kelele mdee na wenzake kwa kukiuka maamuzi ya vikao ya kutotambua matokeo ya uchaguzi wakati huohuo wewe unasahau kitendo Cha kupinga au kutokubali ujio wa wakina Lowasa wakati walipokelewa kwa maamuzi ya vikao haouni Kama wewe nawe ni walewale huna tofauti na walichokifanya wakina mdeeTafuta popote nilipowahi kukubali ujio wa Lowassa ndani ya cdm. Ukipapata uje na mrejesho. Tazama baada ya Lowassa kuletwa, kama uchaguzi huu viongozi wachache ndio waliamua nani awe kiongozi.
Kama Mdee, Ester(s) wameweza, je nawe 'Erythro' unaweza?
Hawa watu wamepewa nini?
Hii habari ya akina Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko..., haya ni matokeo ya udhaifu mkubwa ndani ya chama, au ni mwendelelzo wa tabia ya unafiki tuliyonayo waTanzania?
Hakuna jambo lolote tunaloweza kulisimamia na kujitoa kwa kila kitu kulisimamia?
Wametoa maelezo yoyote kwa nini wamechukua hatua ya ajabu kiasi hiki, ya kusaliti kila kitu walichodhaniwa wanakisiamamia?
unakunyea mdomo naona maana mdomo wa kawaida hauwezi sema hayaHakuna mjumbe wa kamati kuu aliyeenda kikao siku ya leo.
Tuqche mbwembe.
Labda kama Mnyikankqfanya kikao peke yake
Kamati ya kihunihuni wamechaguana kihunihuni mijadala na maamuzi yao kwa vyovyote vile yanakuwa ya kihunihuni.Zero plus zero Ni zeroKamati kuu, kamati hovyo tu! Walishirikije uchaguzi wa wabunge na rais wakati walishaelewa chaguzi za mitaa walipokwa? Nao ni tamaa tu!
TANURU la Moto ndio hili, UPINZANI utabaki Imara , COVID-19 watabaki wabunge wa Mahakama.Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.
Updates
PICHA: Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wakiendelea na kikao hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam cha kuwajadili Halima Mdee na wenzake 18 wanaotuhumiwa kwa usaliti wa chama kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum. #MwanaHALISIDigital https:View attachment 1635850View attachment 1635851View attachment 1635852View attachment 1635854
We mzeeWasaliti hawa lazima wafukuzwe haraka.
Hilda Mwakagenda sikujua kuwa wewe ni bonge la snitch
Jambo ambalo litakuwa na uthibitisho hilo ndio ambalo wote kwa pamoja tutaita ukweli ila kinyume na hivyo litakuwa ukweli kwa upande wako na wengine wataona malalamiko tu.Bali ukweli unapovikwa nguo ya malalamiko ili kuufunika. Ni hivi, jitahidi kutenganisha ukweli na malalamiko.
Dada kwa taarifa yako hamna kitu hapo kitatokeaTANURU la Moto ndio hili, UPINZANI utabaki Imara , COVID-19 watabaki wabunge wa Mahakama.
Kilangi na DPP waabaki kuwa wanasheria wa hovyo kuwahi tokea Tanzania
Hoja ni kwamba pamoja na kuletewa Lowassa hamkuacha kusapoti Cdm,kwa hiyo hata huna sababu ya kutia mikwara ya kuacha kusapoti chadema kama hao unaoita wasaliti wakiachiwa tu.Tafuta popote nilipowahi kukubali ujio wa Lowassa ndani ya cdm. Ukipapata uje na mrejesho. Tazama baada ya Lowassa kuletwa, kama uchaguzi huu viongozi wachache ndio waliamua nani awe kiongozi.
mbowe aseme ukweli asitake kuremba maneno kwa aiji ya kuutetea uenyekiti wake. la sivyo ajibu maneno/tuhuma aliyo yatamka mdee mara baada ya kula kiapo, mdee sio mjinga amsingizie Mbowe.Ndio umetumwa kuja kutapika hapa?
Mbowe ataondoka akichoka mwenyewe, waambie na wenzako.
Dr magufuli alisema msaliti adhabu yake ni kifo, sijui kama nilimsikia vibaya.Wasaliti hawa lazima wafukuzwe haraka.
Hilda Mwakagenda sikujua kuwa wewe ni bonge la snitch
Pisi kali punguza mihemko usije ukakalishwa kwenye mshedede.DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India
Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?
Isijekuwa matapeli.
Ghwa kukajha, ukaleleeee!!?Wasaliti hawa lazima wafukuzwe haraka.
Hilda Mwakagenda sikujua kuwa wewe ni bonge la snitch