Kumbe unaogopa kuuliwa basi kaa utulie sio unaanza kuwaita watu wasaliti watu ambao hawakuogopa kuuliwa katika harakati za kudai haki walizidai hadharani tofauti na wewe uliyejificha humu JF unaogopa hata kuandamana,si ajabu nawe unakula keki ya taifa vizuri tu ila humu mnakuja kuleta unafki na ndio maana hamuwezi kuandamana kudai haki mnajificha.Naona mnaitafuta damu ya waTanzania kwa kila njia iwezekanayo, je, mtaimwaga kweli?
Inawaumiza sana kutopata watu wa kuwaua?
Hivi wewe TAGA, umejiunga lini CHADEMA?mbowe aseme ukweli asitake kuremba maneno kwa aiji ya kuutetea uenyekiti wake. la sivyo ajibu maneno/tuhuma aliyo yatamka mdee mara baada ya kula kiapo, mdee sio mjinga amsingizie Mbowe.
yaani kweli watu wote tunaonekana hatuwezi kufikiria kisa kumlinda mtu mmoja?! kwani huwezi kuachia nafasi kwa heshima tu kuliko kuumbuka ?!
mambo yamevurugika na wewe ndio kiongozi step down kwa heshima pisha wengine warudishe heshima ya chama na imani ya wanachama
tangu chadema ikiwa chini Bob, unamjua huyo ?Hivi wewe TAGA, umejiunga lini CHADEMA?
Sasa wewe utakuwa na tofauti gani na wakina mdee kwa sababu leo hii mnawapigia kelele mdee na wenzake kwa kukiuka maamuzi ya vikao ya kutotambua matokeo ya uchaguzi wakati huohuo wewe unasahau kitendo Cha kupinga au kutokubali ujio wa wakina Lowasa wakati walipokelewa kwa maamuzi ya vikao haouni Kama wewe nawe ni walewale huna tofauti na walichokifanya wakina mdee
Mijitu humu yenyewe ndio wasaliti wakubwa kwakujificha humu JF wanashindwa kudai haki kwa vitendo,Mange alishaliona hilo na juzi kati Lissu nae kaliona hilo. Halafu leo unaenda kumwita Halima mdee msaliti!!!!!
Nyie Keyboard warriors si ndio mnafaa.Ukiona wanakufaa ungana nao.
Hawafai kwa lolote lile.
Wamelewa heshima waliyopewa ndani ya chama kwa miaka mingi , unajua ukimheshimu mtu kwa muda mrefu sana hujisahau na kudhani heshima aliyopewa alizaliwa nayo , kila mmoja wao amenunuliwa kwa hela za madafu 600mil , hii ndio hela iliyowadhalilisha na kuwaharibia katika kipindi chote walichosaliwa nacho hapa dunia , matiko , mdee na bulaya wameahidiwa unaibu Waziri , Mmoja aliyeburuzwa na anayeweza kusamehewa ni Nusrat Hanje .Kama Mdee, Ester(s) wameweza, je nawe 'Erythro' unaweza?
Hawa watu wamepewa nini?
Hii habari ya akina Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko..., haya ni matokeo ya udhaifu mkubwa ndani ya chama, au ni mwendelelzo wa tabia ya unafiki tuliyonayo waTanzania?
Hakuna jambo lolote tunaloweza kulisimamia na kujitoa kwa kila kitu kulisimamia?
Wametoa maelezo yoyote kwa nini wamechukua hatua ya ajabu kiasi hiki, ya kusaliti kila kitu walichodhaniwa wanakisiamamia?
Hao wasaliti wameona aibu hawana lolote LA kujibu kunguni waleMuda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.
Updates
PICHA: Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wakiendelea na kikao hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam cha kuwajadili Halima Mdee na wenzake 18 wanaotuhumiwa kwa usaliti wa chama kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum. #MwanaHALISIDigital https:View attachment 1635850View attachment 1635851View attachment 1635852View attachment 1635854
yaani unaonyesha kiwango cha wivu ulionao! Wa Mpanda alifanya kampeni ya kushindwa? mara paap akashunda au? bila kupambania katiba! Haya ni maigizo tuu. Serikali na nchi wala havitasimama, waacheni hao walau tupata hadhira ya kupaza sauti !Executive decision
Wawafukuze wote, ccm iwachukuwe nakuwapa uanachama.
Endapo cdm itachelewa ... itarajie maumivu makali na kitadhoofishwa sana.
Ili cdm ibakie juu na heshima, hadhi, weledi na ili iendelee kukubaliana zaidi.
Chama kiwafukuze wote na yule wa mpanda. Wasiichelewe.
Hoja ni kwamba pamoja na kuletewa Lowassa hamkuacha kusapoti Cdm,kwa hiyo hata huna sababu ya kutia mikwara ya kuacha kusapoti chadema kama hao unaoita wasaliti wakiachiwa tu.
Msaliti ni msaliti tu hakuna namnaLeo Makamanda waliopigania chama zaudi yako unawaita "mianamke".
Ukome kabisa na matusi yako
Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.
Updates
PICHA: Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wakiendelea na kikao hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam cha kuwajadili Halima Mdee na wenzake 18 wanaotuhumiwa kwa usaliti wa chama kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum. #MwanaHALISIDigital https:View attachment 1635850View attachment 1635851View attachment 1635852View attachment 1635854
Si uombe wenzako wakutafsirie tu!Kama jina lako wewe ni sumu na mawazo yako ni sumu.
DJ Afro au?DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India
Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?
Isijekuwa matapeli.