Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Naona mnaitafuta damu ya waTanzania kwa kila njia iwezekanayo, je, mtaimwaga kweli?

Inawaumiza sana kutopata watu wa kuwaua?
Kumbe unaogopa kuuliwa basi kaa utulie sio unaanza kuwaita watu wasaliti watu ambao hawakuogopa kuuliwa katika harakati za kudai haki walizidai hadharani tofauti na wewe uliyejificha humu JF unaogopa hata kuandamana,si ajabu nawe unakula keki ya taifa vizuri tu ila humu mnakuja kuleta unafki na ndio maana hamuwezi kuandamana kudai haki mnajificha.
 
Hivi wewe TAGA, umejiunga lini CHADEMA?
 
yaani hapa tuanze na Mwenyekiti mwenyewe, aulizwe iweje Mwenyekiti wa Bavicha adiriki kutamka kuwa yeye Mbowe karidhia mchakato? afafanue ilikuwaje mpaka mdee amsingizie maneno hayo kama kweli hakuhusika?
 
Mijitu humu yenyewe ndio wasaliti wakubwa kwakujificha humu JF wanashindwa kudai haki kwa vitendo,Mange alishaliona hilo na juzi kati Lissu nae kaliona hilo. Halafu leo unaenda kumwita Halima mdee msaliti!!!!!
 

Kwanza jitahidi unapoandika uweke koma ama nukta, hii itasaidia kujua najadili na mtu mwenye uelewa wa kiwango gani. Ukitaka kujua tofauti ya uteuzi wa Lowassa na Lisu, angalia Lowassa alichaguliwa na kina nani kuwa mgombea wa urais, na Lisu alichaguliwa na watu gani kugombea urais. Ukimaliza hapo uje kwa mjadala, huku ukizingatia kanuni bora za uandishi.
 
Mijitu humu yenyewe ndio wasaliti wakubwa kwakujificha humu JF wanashindwa kudai haki kwa vitendo,Mange alishaliona hilo na juzi kati Lissu nae kaliona hilo. Halafu leo unaenda kumwita Halima mdee msaliti!!!!!

Mange na Lisu waliona nini tafadhali?
 
Ukiwaona machoni Ni Kama wamehamishia Tabia ya CCM kwenye meza ya pili. Ninajua CCM itawakumbatia kwa sababu wao katiba siyo kitu kwao
 
Wamelewa heshima waliyopewa ndani ya chama kwa miaka mingi , unajua ukimheshimu mtu kwa muda mrefu sana hujisahau na kudhani heshima aliyopewa alizaliwa nayo , kila mmoja wao amenunuliwa kwa hela za madafu 600mil , hii ndio hela iliyowadhalilisha na kuwaharibia katika kipindi chote walichosaliwa nacho hapa dunia , matiko , mdee na bulaya wameahidiwa unaibu Waziri , Mmoja aliyeburuzwa na anayeweza kusamehewa ni Nusrat Hanje .

Umeuliza kama mimi naweza kununuliwa hasa baada ya Mdee kujiuza , kwa kifupi nikujibu tu kwamba mimi siwezi kununuliwa kwa sababu sifanyi siasa ya kujikimu , mimi na wachache kama Mbowe tuliingia kwenye siasa tukiwa na hela nyingi kwa lengo la kusaidia utawala wa haki na demokrasia nchini Tanzania .
 
Hao wasaliti wameona aibu hawana lolote LA kujibu kunguni wale
 
yaani unaonyesha kiwango cha wivu ulionao! Wa Mpanda alifanya kampeni ya kushindwa? mara paap akashunda au? bila kupambania katiba! Haya ni maigizo tuu. Serikali na nchi wala havitasimama, waacheni hao walau tupata hadhira ya kupaza sauti !
 
Hoja ni kwamba pamoja na kuletewa Lowassa hamkuacha kusapoti Cdm,kwa hiyo hata huna sababu ya kutia mikwara ya kuacha kusapoti chadema kama hao unaoita wasaliti wakiachiwa tu.

Tuliendelea kuisupport cdm maana kosa moja haliachi mke. Na cdm uchaguzi huu hawakurudia tena kosa la kuleta wagombea wasio na ridhaa ya wanachama.
 
CDM wasipepese macho hapa, ni kuwafukuza tu hawa wahalalishaji haramu.

Ukiona nzi wa kijani wanaruka ruka Kwa furaha ujue kuna matunda yameoza au mzoga.

Ondoa mzoga mazingira yatulie watu wapate oksjeni maisha yaendelee
 

Sasa si wangewasiliana na IGP Sirro ili awape ulinzi wanapokuwa wanapokuwa wanaelekea kwenye kikao kujitetea?

Kutishiwa usalama wao Hakupo Bali ni kisingizio tu...

Ukweli ni kuwa hatua yoyote itakayochukuliwa na chama chao (ambayo obviously ni kuvuliwa uanachama), dola imewahakikishia kuwa wataendelea kuwa wabunge tu...!

Andiko la Yericko Nyerere lina maana sana. CHADEMA waendelee mbele. Hakuna sababu ya kulea watovu wa nidhamu ndani ya chama wanaouza utu wao kwa fedha..


Bahati mbaya kwa dola ni kuwa, CHADEMA wakisimama kwenye msimamo wao na kua - bide ktk principles za uendeshaji wa chama, lengo la Magufuli na CCM litagonga mwamba spectacularly..

Mwafaka hapa ni kukaa mezani tu kwa ajili ya mwafaka...
 
kama kweli walicho kifanya kina Mdee na wenzake ni "usaliti" sasa tujiulize je? tunauhakika gani kwa viongozi walio baki kuwa sio wasaliti watarajiwa?! maaana hakuna aliye wahi kutarajia wala kufikiria juu ya haya yaliyo tokea,
nasisitiza mwenyekiti ajiuzulu mara moja.
 
Kama wanatishwa na wao wakimbilie wakaishi kwenye makazi ya balozi wa Ujerumani.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…