Walitakiwa kufika saa mbili asubuhi mbele ya kamati kuu ya Chadema Taifa, hadi saa tano asubuhi hawajafika ofisi za chama, makao makuu. Jeuri, kiburi, dharau. Kuna nguvu kubwa ya DOLA nyuma yao. Wangelifika mbele ya kamati kuu, wajieleze, nafikiri wameamua kuirahishia kazi CC.
Toka kwa mjumbe kamati kuu
Hayo mapigano yalifanyika lini, wapi?Leo Makamanda waliopigania chama zaudi yako unawaita "mianamke".
Ukome kabisa na matusi yako
Hakuna mjumbe wa kamati kuu aliyeenda kikao siku ya leo.
Tuqche mbwembe.
Labda kama Mnyikankqfanya kikao peke yake
Brother uzalendo uliondoka enzi za kina nkuruma nyerere n.kPascal Mayalla ni mtetezi wa hii mianamke isiyokuwa na nidhamu
Walitakiwa kufika saa mbili asubuhi mbele ya kamati kuu ya Chadema Taifa, hadi saa tano asubuhi hawajafika ofisi za chama, makao makuu. Jeuri, kiburi, dharau. Kuna nguvu kubwa ya DOLA nyuma yao. Wangelifika mbele ya kamati kuu, .Kazi aliyotumwa Bulaya kaimaliza!!
Imagination like always! Yuh guys are not capable of solving even ur own problems, only looking for silly excuses!Kuna nguvu kubwa ya DOLA nyuma yao.
Hapo Sasa kamati kuu ielekeze kibra na bila kunuiza fukuza wote kuanzia Sasa hivi, wajumbe wa kamati kuu wasikubali kaondoka tupu.DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo brussels,Ben Kigaila Yupo India
Kamati kuu ipi sasa๐?
Isijekuwa matapeli.
Waliandika barua, kuomba kuongezewa muda kwa sababu kulikuwa na matishio ya usalama wao kutoka kwenye magroup ya watsap ambao watu walikuwa wanahamasishana kwenda kuwafanyia vurugu
But kamati kuu wamekataa na wakachange venue to bahari Beach
So hakuna ishu yoyote ya dola ila tu kujitambua kwao
Niliwaona TBC maeneo ya Ufipa lakini wakaondoka!Kwan awakusema kitakua live au
Au wanahairisha wafanyee kidigitali๐๐
Hata Mbowe hajulikani alipo!Ni noma sana Hahah nasikia Wajumbe wamekula kona
Wapi Lema ? wap Msigwa? Wapi Kigaila? Wap Makene? Wap Mwalimu salum?
Wote wameingia mitini๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ