hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Waliandika barua, kuomba kuongezewa muda kwa sababu kulikuwa na matishio ya usalama wao kutoka kwenye magroup ya watsap ambao watu walikuwa wanahamasishana kwenda kuwafanyia vurugu.
But kamati kuu wamekataa na wakachange venue to bahari Beach.
So hakuna ishu yoyote ya dola ila tu kujitambua kwao.
But kamati kuu wamekataa na wakachange venue to bahari Beach.
So hakuna ishu yoyote ya dola ila tu kujitambua kwao.