Hadi sasa haieleweki kama kikao hicho kitafanyika ama la kadhalika uhakika wa akidi kutimia unatia shaka.
Ufipa hali ni shwari na kuna vijana wachache wa Bavicha ambao kimsingi hawatoi taarifa kama kikao kitakuwepo na kitafanyikia wapi zaidi ya kuwataka wanachama wawe na subira.
Ngoja tuone muda ndio msema kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Ufipa wamevurugwa kweli kweli!Duh.
Live online pengine na siyo kwenye kituo Cha televisheni labda TV ya manyang'au huko KenyaKwan awakusema kitakua live au
Au wanahairisha wafanyee kidigitali😂😂
Bwashee mtaweza kuiendesha Chadema bila ruzuku?!Ni hivi, acha kuwa wachache, hata wakiwa wawili, hilo kundi la wanawake wahuni linapigwa chini, na cdm wakisita kuchukua hatua, ndio wajue support yetu inakata hivyo.
Kisipo fanyika icho kikao leo basi tutaamini wazi kua chadema hakina uhalali kwa kuitwa chama kikuu cha upinzani piah tutamin kua kinaongozwa na kikundi kidogo cha waropokaji na wahuniNiliwaona TBC maeneo ya Ufipa lakini wakaondoka!
Ukiwa mshabiki Sana wa kitu inafika mahali unakuwa Kama Zuzu, bado hamjaelewa huu mchezo unachezwa na Mbowe!?
Mie naona wabunge wote sasa ni CCM, ambao ilipaswa chadema ipeleke hawakupeleka, hivyo mamlaka ikaamua kuokoteza wanachama wa chadema na kujaza nafasi, wakikiuka taratibu kadhaa.
Sijui nini kitafuata iwapo sasa chadema wakiamua kupeleka wabunge wa viti maalumu, ambao watafuata taratibu? Watakataliwa? Mdee kawa mbunge vipindi kadhaa, leo anashindwa vumilia na kuyapa nafasi maamuzi ya chama! Je, ni kweli uwezi ishi bila kuwa mbunge? Basi hauna dhamani!
Kiburi ya Msaliti Lisu hataki kushauriwa na viongozi wenzake, analazimisha hoja zake tu, ona sasa alivyomtega Mnyika ana wakati mgumu. Hili Bomu litamlipukia Mnyika, wakti huo Lisu yuko nje na mabeberu wakeKiburi cha jiwe wakala wa shetani kimetamalaki katika taifa hili.
Bwashee mtaweza kuiendesha Chadema bila ruzuku?!
Sasa aaandamane apinge matokeo ambayo yeye mwenyewe anajua ndivyo alivyochagua? Hata hawa akina mama wanajua Chama kilishindwa, sasa wanashangaa chama kinataka kufanya uongo ule wa kutunga eti kuwa ndio ukweli, wauaminiBrother uzalendo uliondoka enzi za kina nkuruma nyerere n.k
Hata ingekuwa wewe ni kuunyaka usawa wa mapene ili familia yako iende chooni kwa sababu ya shibe. Nani asiye taka maisha mazuri?
Nani ampiganie mtanzania ambaye anaambiwa atoke akaandamane kupinga matokeo ila yeye anaamkia youtube kutizama video za kina davido?
Unahangaika na Cdm sanaHadi sasa haieleweki kama kikao hicho kitafanyika ama la kadhalika uhakika wa akidi kutimia unatia shaka.
Ufipa hali ni shwari na kuna vijana wachache wa BAVICHA ambao kimsingi hawatoi taarifa kama kikao kitakuwepo na kitafanyikia wapi zaidi ya kuwataka wanachama wawe na subira.
Ngoja tuone muda ndio msema kweli.
Maendeleo hayana vyama
Ukimaliza kutukana kunywa soda ujipongezeMirembe itajaa kaka.
Siku zote vyama vya upinzani vikiwa kwenye mgogoro lawama zote huenda kwa dola na CCM.
Kuna mke wa makamu wa rais Salum Mwalimu ambaye ni ester matiko, Kuna mwenyekiti wa bavicha, Kuna mke wa Alli bananga, Kuna Katibu wa bawacha, na viongozi wote wa kitaifa.Walitakiwa kufika saa mbili asubuhi mbele ya kamati kuu ya CHADEMA Taifa, hadi saa tano asubuhi hawajafika ofisi za chama, makao makuu. Jeuri, kiburi, dharau. Kuna nguvu kubwa ya DOLA nyuma yao. Wangelifika mbele ya kamati kuu, wajieleze, nafikiri wameamua kuirahishia kazi CC.
Toka kwa mjumbe kamati kuu
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.
Halima Mdee ni mwanamke shujaa, msomi na mwanasheria, anaijua katiba ya Chadema, na vikao vya mamlaka ya nidhamu ni kama ifuatavyo...Walitakiwa kufika saa mbili asubuhi mbele ya kamati kuu ya CHADEMA Taifa, hadi saa tano asubuhi hawajafika ofisi za chama, makao makuu. Jeuri, kiburi, dharau. Kuna nguvu kubwa ya DOLA nyuma yao. Wangelifika mbele ya kamati kuu, wajieleze, nafikiri wameamua kuirahishia kazi CC.
Toka kwa mjumbe kamati kuu