Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Kamati kuu Chadema acheni ukilaza. Mlishiriki uchaguzi mkuu mkijua kabisa hautakuwa wa huru na haki. Refer:Uchaguzi serikali za mitaa. Sasa mlishiriki hizo kura mlizopewa mmepata nafasi 19.Waacheni wabunge wakachape kazi bungeni.

Nenda ww maana pia ni mwanamke ili ukachape kazi. Shubamiit.
 
Hao wanatimuliwa na hata wasipoenda mahakamani wataendelea kukumbatiwa na Ndugai lakini hilo halitusumbui, cha msingi tunawatimua waasi wakafie mbele.
 
DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India

Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?

Isijekuwa matapeli.
Ndo maana wamewadharau maana huyo mnyika hao vigogo wa bawacha atawaambia Nini wakati mwenye saccos keshaamua waende bungeni?
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Ndio tunataka tujiridhishe, wengi sana hatuna imani na Mbowe bali tuna imani na Lisu, na iwapo hawatapiga chini hilo kundi la wanawake wahuni, support yetu itakata kwao rasmi. Tunasubiri hatua stahiki na sio ubabaishaji.
Mkuu huu mchezo utaisha hivihivi kihuni, kitendo cha kutosoma,kusikia wala kumuona Mbowe popote kwenye hii ishu ya akina Mdee ni picha tosha ya kinachoendelea. Tatizo wafuasi wengi wa CHADEMA ni kama mna amini CHADEMA ilikuwa inapigania maslahi ya wananchi. Hapo ndo mlipokosea, Ila Mungu si Athumani hii ishu itawafumbua macho. Kama ya kubadili gia angani ya Lowassa haikuwafumbua macho.
 
Mbo Mbona hao ni wahuni tu wa kitaa,
Hata hawafiki kumi?
Utakuta mke wa return of undertaker nae yupo hapo kwa ushuri wa mme wake.
 
The art of war in political contest.

Tumepigwa sana na tumeumizwa na kudhalilishwa sasa tumeachwa na makovu makubwa.

Kadiri tutakavyo taka kuyatibu kwa haraka bila uangalifu, makovu hayo yameachwa yatuuwe.
 

Kwa kutumia sheria hizo hizo, katibu Mkuu ndio mwenye uhalali wa kupeleka majina ya viti maalum kwa spika. Uje utoe mrejesho wa hilo, ili hili bandiko lako refu lisikugeuze kuonekana mnafiki.
 
Washindwe kukataa kuapa plus hotuba ya kushukuru, leo wsjivue ubunge!??
 
Nani atawafukuza wakati mwenye saccos Yake kaamua kujikalia kimya na kwenye kikao HAKUNA aliyeenda na HAKUNA kikao.
Nyumbu hamueleweki mnataka Nini.
 
Ona hii tiktak aliyoicheza Mbowe,

Kawambia msije,
 
Hata haiingii akilini 2025 ni mbali sana kwa kesi kama hiyo.
 
Kwenye uchaguzi kunakugawana ubunge au kuchagua mbunge! We,I huiba kisha wanakaa na kuanza kugawana walichoiba, asiporidhika mmoja huchomana visu.
 
Hakuna mjumbe wa kamati kuu aliyeenda kikao siku ya leo.
Tuqche mbwembe.
Labda kama Mnyikankqfanya kikao peke yake
Sasa majina wachague wenyewe na kupeleka NEC halafu wakae kikao gani tena? Au mlishitulia na kulekupayuka payuka kwa akina pambalu?? Kilakitu kinabaraka zote
 
DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India

Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?

Isijekuwa matapeli.
Mkuu Mbowe mjanja sana!

Kawaambia wasiende ili ionekane hawajafukuzwa kwakuwa hawakufika kwenye kamati kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michezo hii kina salary slip hawawezi kuielewa.
 
Kama namuona mbelgiji mate yanavyomtoka kwa povu. Yeye katulia anatunzwa huko aliko, anataka wenzake wafe njaa. Halima kamshtukia 😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…