Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kamati kuu Chadema acheni ukilaza. Mlishiriki uchaguzi mkuu mkijua kabisa hautakuwa wa huru na haki. Refer:Uchaguzi serikali za mitaa. Sasa mlishiriki hizo kura mlizopewa mmepata nafasi 19.Waacheni wabunge wakachape kazi bungeni.
Nenda ww maana pia ni mwanamke ili ukachape kazi. Shubamiit.