Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

COVID 19 ilishafukuzwa na rais John Pombe Joseph Magufuli tangu March 2020
Halima na wenzie 18 watamalizana bungeni hawataki maneno
 
Mkuu Mbowe mjanja sana!

Kawaambia wasiende ili ionekane hawajafukuzwa kwakuwa hawakufika kwenye kamati kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michezo hii kina salary slip hawawezi kuielewa.
Mnaishi kwa propaganda za kipuuzi!
 
Mkuu tusiandikie mate, acha tuone hitimisho. Kama ni kupigania wananchi tuliona kwa macho yetu na wala usitake kupotosha kwa hii hali ya hawa wahuni wachache. Ni mangapi yamefanyika kwa msukumo wa hao cdm tunawajua, sasa unapokuja na lugha za jumla sijui unaona unaoongea na mtoto?
 
COVID 19 ilishafukuzwa na rais John Pombe Joseph Magufuli tangu March 2020
Halima na wenzie 18 watamalizana bungeni hawataki maneno

Mwambie atumie nguvu hizo hizo kufukuza ukimwi.
 
Sijui kwanini chadema wa mitandaoni ni wajinga sana kugundua hii janja ya akina Mbowe kama hakuna kamati imekutana leo
 
Mwambie atumie nguvu hizo hizo kufukuza ukimwi.
Harakati zinaendelea
Rais aliamua aanza na hili lililokua limebeba propaganda za kutumaliza kwa kwa kasi
 
Viongozi gani na wamesema wanachofanya kina Baraka za mwenyekiti?
 
Trillion mbili za mabeberu zinawatoa jasho CCM kutaka kuunda Kambi rasmi Bungeni kwa nguvu.

Habari mbaya ni kwamba wote 19 wanajivua ubunge wa Ndugai rasmi leo.

Stay turned!!
Wenzio wameshajaza na fomu za mkopo hivyo.

Kama mijanaume mizima ilinunuliwa kama njugu ndio sembuse hawa mademu unaoweza kuwalaghai hata bila ya pesa?
 
Kama wanawaogopa wanachama wenzao inamaana wamejitoa uanachama wa Chadema na kuanzisha kikundi chao, basi CC iwafute kwa kujitoa wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…