Mkuu hilda mwakagenda ndo Hilda newton..??Wasaliti hawa lazima wafukuzwe haraka.
Hilda Mwakagenda sikujua kuwa wewe Ni bonge la snitch
COVID 19 ilishafukuzwa na rais John Pombe Joseph Magufuli tangu March 2020Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.
Mnaishi kwa propaganda za kipuuzi!Mkuu Mbowe mjanja sana!
Kawaambia wasiende ili ionekane hawajafukuzwa kwakuwa hawakufika kwenye kamati kuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michezo hii kina salary slip hawawezi kuielewa.
Mkuu tusiandikie mate, acha tuone hitimisho. Kama ni kupigania wananchi tuliona kwa macho yetu na wala usitake kupotosha kwa hii hali ya hawa wahuni wachache. Ni mangapi yamefanyika kwa msukumo wa hao cdm tunawajua, sasa unapokuja na lugha za jumla sijui unaona unaoongea na mtoto?Mkuu huu mchezo utaisha hivihivi kihuni, kitendo cha kutosoma,kusikia wala kumuona Mbowe popote kwenye hii ishu ya akina Mdee ni picha tosha ya kinachoendelea. Tatizo wafuasi wengi wa CHADEMA ni kama mna amini CHADEMA ilikuwa inapigania maslahi ya wananchi. Hapo ndo mlipokosea, Ila Mungu si Athumani hii ishu itawafumbua macho. Kama ya kubadili gia angani ya Lowassa haikuwafumbua macho.
Tukikuthibitishia utatowa tako?Hakuna mjumbe wa kamati kuu aliyeenda kikao siku ya leo.
Tuqche mbwembe.
Labda kama Mnyikankqfanya kikao peke yake
Ndio maisha yetu haya.Mnaishi kwa propaganda za kipuuzi!
COVID 19 ilishafukuzwa na rais John Pombe Joseph Magufuli tangu March 2020
Halima na wenzie 18 watamalizana bungeni hawataki maneno
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtani, mpira sasa hivi unachezwa kwenye goli lenu na mtafungwa muda si mrefu.Mnaishi kwa propaganda za kipuuzi!
Mayala kwa kisukuma maana yake ni njaa.Pascal Mayalla ni mtetezi wa hii mianamke isiyokuwa na nidhamu
Harakati zinaendeleaMwambie atumie nguvu hizo hizo kufukuza ukimwi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Anatia huruma sanaSalary Slip anapiga dua anataka Kiti cha Halima[emoji1787][emoji1787] ajui yeye ajui tu[emoji23]
Wenzio wameshajaza na fomu za mkopo hivyo.Trillion mbili za mabeberu zinawatoa jasho CCM kutaka kuunda Kambi rasmi Bungeni kwa nguvu.
Habari mbaya ni kwamba wote 19 wanajivua ubunge wa Ndugai rasmi leo.
Stay turned!!
Pascal Mayalla ni mtetezi wa hii mianamke isiyokuwa na nidhamu
Yes!!!Leo Makamanda waliopigania chama zaudi yako unawaita "mianamke".
Ukome kabisa na matusi yako
Kama wanawaogopa wanachama wenzao inamaana wamejitoa uanachama wa Chadema na kuanzisha kikundi chao, basi CC iwafute kwa kujitoa wenyewe.Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.