Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mbowe kawaomba wakate rufaa ili awasamehe aendelee kupata michango.Wabunge wa viti maalumu kupitia Chadema mh Halima James Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa kupinga kuvuliwa uanachama na kamati kuu ya chama hicho.
Source Mwananchi
My take; Hongereni kwa kuzingatia muda.
Maendeleo hayana vyama!
Hapa tunazungumzia Mnyika siyo DPP bwashee.Huyo Mnyika akamtoa hadi na Nusrat mahabusu akamsafirisha kumpeleka Ikulu usiku?
Inaonekana Mnyika ana nguvu kweli kweli
Hapatakuwepo na CHADEMA tena hapo!Msamaha upite wajutie makosa na kuomba radhi. Kisha mambo mengine yaendelee
OvaKulikuwa hakuna haja ya kukata rufaa waendelee tu kuwatumikia waliowatuma maana watawalinda kama walivyoahidiwa.
Ndugai na DPP aliwaandikia.Usiogope bwashee.
Tunataka kumjua aliyeandika barua ya uteuzi kwenda NEC!
Hapa tunazungumzia Mnyika siyo DPP bwashee.
Chu..!!!kwani kafulira sikuhizi unataka kusema hana cheo?..😢😲😲Njaa mbaya sana sana
Hao wameshapotea kisiasa na kujishushia heshima
Wametanguliza maslahi ya familia na matumbo yao mbele
Hata wakiwa ccm hao ni wasaliti tu
Muangalie David Kafulila bosi wake alimwambia usigombee yeye kwa kiburi alichotoka nacho NCCR mageuzi akagombea ubunge
Covid 19 hilo ni kundi hatari ambalo watoto watakuja kufundishwa kwenye sheria kama reference ya sheria kuvunjwa za nchi
Wanachoweza kwa sasa ni kucheza zile picha pendwa tu siasa imeshawatupa mkonoHiyo rufaa wamelazimishwa na nani kuikata?
Inawezekana wanaleta maigizo, au walikuwa wanasubiri maelekezo toka kwa waliowatuma, au ni dhamira zao binafsi ndio zimewasukuma kusubiri kukata rufaa siku ya mwisho?
Kutokana na hayo maswali hapo juu nina doubt sana na dhamira yao kwenye hii issue, inawezekana walitaka kunyamaza siku ziishe bahati mbaya rumours za wanataka kwenda ACT ndio zikawasukuma kukimbilia kukata rufaa.
Hao wanawake huu mchezo wao wameshindwa kuucheza kwa kutumia akili kabisa, hilo kundi lao halina kiongozi mwenye vision.
Wewe ulidhani angetolewa na nani?!Kumbe Nusrat alitolewa na DPP, asante kwa hili mlamu!
Ni mchsmbuzi wa maswala ya kisiasa na kuibua mafisadi!Chu..!!!kwani kafulira sikuhizi unataka kusema hana cheo?..😢😲😲
Umempata Sasa solve matatizo ya kawe .unageuka bila Mdee haiwezekani tumnunue aingie bungeni!Nileteeeeeni gwajima
Nileteeeni gwajima
HakimuWewe ulidhani angetolewa na nani?!
Hakimu ndiye aliyemuweka mahabusu.Hakimu
Kesi ilikuwa mahakamani ilipangwa tarehe ya kuendelea kuunguruma.Hakimu ndiye aliyemuweka mahabusu.
Hawawezi kuomba msamaha alafu wabakie bungeni!!?Msamaha upite wajutie makosa na kuomba radhi. Kisha mambo mengine yaendelee
Hayo maneno yako sahau kabisa kwa mwanasiasa,nisawa na kumpigia mbuzi gitaa tu,na kumbuka tu kwamba hapa Tz hakuna mwanasiasa anayepigania maendeleo yako wote nikwaajili ya maslahi yao na familia zaoNjaa mbaya sana sana
Hao wameshapotea kisiasa na kujishushia heshima...
Unayajua majukumu ya DPP lakini?!Kesi ilikuwa mahakamani ilipangwa tarehe ya kuendelea kuunguruma.
Kama si hakimu Basi ametoroka !ahaaahaa