Hiyo rufaa wamelazimishwa na nani kuikata?
Inawezekana wanaleta maigizo, au walikuwa wanasubiri maelekezo toka kwa waliowatuma, au ni dhamira zao binafsi ndio zimewasukuma kusubiri kukata rufaa siku ya mwisho?
Kutokana na hayo maswali hapo juu nina doubt sana na dhamira yao kwenye hii issue, inawezekana walitaka kunyamaza siku ziishe bahati mbaya rumours za wanataka kwenda ACT ndio zikawasukuma kukimbilia kukata rufaa.
Hao wanawake huu mchezo wao wameshindwa kuucheza kwa kutumia akili kabisa, hilo kundi lao halina kiongozi mwenye vision.