zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Acha wivu wewe,ungekuwa wewe ungefanyaje? Ni haki yao ndiyo maana wamepokelewa bungeni,kwani katibu wezi wanachukuliwa hatua gani mbona Mbowe Mara kwa Mara anakibambikia Chama madeni alafu anashinikizwa yalipwe kumbe anajilipa yeye . Kwa ubadhirifu huo yeye mmemchukulia hatua gani au katiba inamruhusu kufanya ubadhirifu huoNjaa mbaya sana sana
Hao wameshapotea kisiasa na kujishushia heshima...