Hakuna jembe kama Halima Mdee tusidanganyane hapa. Ila kama na wewe unataka kumpenyeza mkeo viti maalum CHADEMA nitakuelewaUliwasikia wao wenyewe wakisema hivyo, au umeamua kuwasemea wewe?
Kingine ni hiki, Chadema ina wamama wengi mno wenye uwezo mkubwa sana kuliko hata hao
Ajabu sana!UVCCM wanawaombea msamaha COVID 19
Wewe na Mchungaji Msigwa mnafanana kwa ukapukuWadanganye mbumbumbu wenzako
Mbon CCM hawajampa uwaziri?Hakuna jembe kama Halima Mdee tusidanganyane hapa. Ila kama na wewe unataka kumpenyeza mkeo viti maalum CHADEMA nitakuelewa
Jembe Msaliti ndio jembe gani huyo?Hakuna jembe kama Halima Mdee tusidanganyane hapa. Ila kama na wewe unataka kumpenyeza mkeo viti maalum CHADEMA nitakuelewa
Msaliti tu?Jembe Msaliti ndio jembe gani huyo?
Endelea kubishana jf usifiweWewe na Mchungaji Msigwa mnafanana kwa ukapuku
Chadema inahitaji Watu Wenye ukwasi akina Halima Mdee,mama Kaboyoka, Bulaya nk
Sasa wewe hata Bawacha tu huna hadhi yoyote
Ulale Unono 😃😃
Kwani Ndugai alinipa mimi?Watakupa wewe ufaidi
Mimi sibishani bali nakuambia COVID 19 wapatao 13 wameshasamehewa linasubiriwa tamko tu la CCEndelea kubishana jf usifiwe
GREAT.Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.
Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)
Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?
Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.
Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.
Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .
KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
2025 Hawa wadada wanaelekea wapi mungu wa mbinguni?
Utumboo huu aisee mbona mwenzie twaha mwaipaja alitoka?Hebu jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza inafunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.
Je ungeng'ang'ania kubaki rumande?.
Mambo ya mwaka 2020 yalikuwa ni ajali kwa watanzania wote kutokana na lile DUBWASHA tulilolizika Chato. Hakuna mwenye kosa kati ya hao 19. Huo ukurasa unfungwe TUJIPANGE UPYA na hawa akina Halima.
Wanaelekea wapi wakati wako ccm tayari. Cdm hakuna vyeo vya kuwapa hao waamini vyeo, waende huko ccm, maana ccm ndio inategemea waliokuwa viongozi wa cdm wakiamini watapata mvuto.2025 Hawa wadada wanaelekea wapi mungu wa mbinguni?
Mimi ni mwandishi wa JF nimenukuu maelezo ya Kamati kuu na Baraza kuu la Chadema, Maamuzi yake yalitangazwa hadharaniGREAT.
By the way; Hii ni Taarifa rasmi ya Chama? Na wewe uliyeileta/uliyei publish ni nani pale CHADEMA?
Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.
Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)
Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?
Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.
Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.
Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .
KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
Ila ni warembo tuacheni utani nyie.Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.
Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)
Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?
Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.
Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.
Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .
KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
Naona unaleta utani...Japo uko nje ya mada lakini nataka nikusaidie, ni hivi, Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa na Rafiki yake Askofu Gwajima, kumhusisha Mbowe ama hujui au umedhamiria kudanganya
Hakika hujui kitu, Hata Dr Slaa hukumsikiaNaona unaleta utani...