Halima Mdee na wenzake 18 wapanga kuihujumu BAWACHA, washitukiwa

Makamanda mnapitia wakati mgumu sana kisiasa, miezi kadhaa nyuma mmesumbua sana na maneno yenu ya mipasho bila hata kuweka akiba ya maneno, haya ndo malipo ya matusi na usaliti wenu dhidi ya taifa, na nadhani kuna kitu mtajifunza.
 
Chadema inapokea maoni kutoka kila mahali , wasilisha sera mbovu zifanyiwe kazi
 
makamanda mnapitia wakati mgumu sana kisiasa, miezi kadhaa nyuma mmesumbua sana na maneno yenu ya mipasho bila hata kuweka akiba ya maneno, haya ndo malipo ya matusi na usaliti wenu dhidi ya taifa, na nadhani kuna kitu mtajifunza.
Matusi kwa tafsiri ya kwenu ni nini ?
 
CHADEMA kinasimamia kikamilifu mchakato wa kifo chake.

Wananchi walikinyima kura lakini enewei sikio la kufa....
Kilichofanyika kwenye uchaguzi tumekiona kwa macho yetu, usiwasingizie wananchi. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 

CCM ndiyo dola (serikali) yenyewe iliyojipa madaraka ya kudhibiti uwanja mzima wa shughuli za kisiasa. Upinzani ni sauti/mawazo mbadala kwa serikali.

Usipokubaliana na kinachosemwa na upinzani, basi umekubaliana na matendo na kinachosemwa na serikali. Ni suala la kuona kweli iko wapi na kusimama nayo. CCM/Serikalini? au katika upinzani?

Kujiita “sisi bila vyama vya siasa” hapa Tanzania ni ubatili (void) - si kweli. Ni uongo ulio dhahiri kabisa. Ni ama umesimama na dola au na upinzani. Neutral doesn’t exist here.
 
Makamanda mnapitia wakati mgumu sana kisiasa, miezi kadhaa nyuma mmesumbua sana na maneno yenu ya mipasho bila hata kuweka akiba ya maneno, haya ndo malipo ya matusi na usaliti wenu dhidi ya taifa, na nadhani kuna kitu mtajifunza.
 
Hatukatai kupata hizo pesa shida ni uhalali wa kuingia huko bungeni inaenda kuwa kituko cha bunge linavyo endeshwa dunianzima
Sasa ndio tayari wabunge, nyie chadema mmepoteza wao covid wamepata
 
Chadema inapokea maoni kutoka kila mahali , wasilisha sera mbovu zifanyiwe kazi
Nikupe mfano mmoja ulio wazi:
Sera ya majimbo haiiongezei chochote Tanzania. Na hata kama CHADEMA wanaing'ang'ania kwamba ndiyo sera yao kuu na muhimu sana, basi italazimu jambo hilo liamuliwe na wananchi wenyewe kwa kura ya maoni na sio wao CHADEMA kuingia tu na kubadili muundo mzima wa kiserikali kwa vile tu wameshinda uchaguzi kwa kumpata Rais. Hata bungeni inawezekana ikawa ni vigumu kupitisha jambo kama hilo.

Kwa hiyo sera ya majimbo haiwezi kutekelezwa kwa vile tu CHADEMA wameshika serikali. Ni lazima jambo hilo lipitie Bungeni na hata wananchi washirikishwe kwa kupiga kura ya maoni.

Huo ni mfano mmoja wa mambo magumu yanayofanya baadhi ya wananchi kusita kuiunga mkono CHADEMA.
Hatakueleza sababu za lazima kubadilisha muundo uliopo hazieleweki vyema na wananchi wengi.

Yapo mengine kadhaa yanayotia shaka juu ya CHADEMA na hatma ya Tanzania yanayowafanya waTanzania wengi kusita kuwaunga mkono moja kwa moja.
 
Utashangaa siku hilo baraza likiitwa wanachadema nyomi watahudhuria. Hapo ndo utajua hali halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…