Mkuu kwa hali ya sasa ndani ya chadema kuwafukuza bawacha19 ni sawa na mwanaume anaishi na mwanamke mrembo na makini miaka20 ndani ya nyumba halafu ghafla anaamu kumfukuza na kumrushia vitu nje, huku kukiwa na wanaume Wengine10 wanaomtaka watangaze ndoa kabisa.Ndio wamefukuzwa sasa hata masaa 12 hayafika, watubu.
Mbona unachangia hoja nyepes Sana na za kupoteza muda Kama hizi za upuuzi wa chama hewa ,kuonekana hujib maswali mepes nilitegemea majukwa ya kelele haya usionekane hapa chiziii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bahati mbaya Sana sijibugi maswali mepesi Kama haya,samahani sana
Mkuu mama d nimeota unajiunga na chadema karibu sanaMkuu kwa hali ya sasa ndani ya chadema kuwafukuza bawacha19 ni sawa na mwanaume anaishi na mwanamke mrembo na makini miaka20 ndani ya nyumba halafu ghafla anaamu kumfukuza na kumrushia vitu nje, huku kukiwa na wanaume Wengine10 wanaomtaka watangaze ndoa kabisa.
Hashim Rungwe akiwapata namuona mbali 2025
😂😂😂😂 bado sijashawishika mkuuMkuu mama d nimeota unajiunga na chadema karibu sana
😂😂😂😂 bado sijashawishika mkuu
Mkuu ndo ivyo asema bwana, TOKA huko mkuu
Ok mkuu mama d, wewe ni mpambanaji, binafsi Hapa Jamvin nakuona Kama mwanamama unaejitambua, kuwa huko ni kwa bahati mbaya,rejea chadema mkuu,chama Makin na chama Cha mihoyo ya WATANZANIA mkuuNishawishi
Chadema niliwaelewa sana ila kitendo walichofanya kwenye nafasi ya urais 2015 kiliwaharibia kabisaOk mkuu mama d, wewe ni mpambanaji, binafsi Hapa Jamvin nakuona Kama mwanamama unaejitambua, kuwa huko ni kwa bahati mbaya,rejea chadema mkuu,chama Makin na chama Cha mihoyo ya WATANZANIA mkuu
Mbona wapo wengi tu wanasiasa walioomba radhi, hata huko CCM wapo kina Nape, kina January kina Makamba kina Sophia Simba nk.Siasa sio kama shule ya msingi kwamba unachapwa na kuambiwa uombe radhi. Mwanasiasa dhahifu tu ndio ataomba radhi baada ya kufukuzwa. Ukitaka uanasiasa wako ufe basi omba radhi baada ya kufukuzwa chama. Hapa pigia mstari neno KUFUKUZWA CHAMA. Ni wajinga tu wataendelea kung'ang'ania chama KILICHOWAFUKUZA, na huo utakuwa mwisho wa siasa zao ukiachia mbali huru wao na kukubalika kwao ndani ya chama walichofukuzwa.
Hao wanaume 10 wanaomtaka huenda ndio waliompa kibri ngoja wamuoe wakae naye wayaone mapungufu yake.Mkuu kwa hali ya sasa ndani ya chadema kuwafukuza bawacha19 ni sawa na mwanaume anaishi na mwanamke mrembo na makini miaka20 ndani ya nyumba halafu ghafla anaamu kumfukuza na kumrushia vitu nje, huku kukiwa na wanaume Wengine10 wanaomtaka watangaze ndoa kabisa.
Hashim Rungwe akiwapata namuona mbali 2025
Mbona wapo wengi tu wanasiasa walioomba radhi, hata huko CCM wapo kina Nape, kina January kina Makamba kina Sophia Simba nk.
Mbona Kafulila aliomba radhi NCCR na akapaa kisiasa tokea hapo. So sio udhaifu kuomba radhi bali kujirudi tu na kutambua kosa.Siasa sio kama shule ya msingi kwamba unachapwa na kuambiwa uombe radhi. Mwanasiasa dhahifu tu ndio ataomba radhi baada ya kufukuzwa. Ukitaka uanasiasa wako ufe basi omba radhi baada ya kufukuzwa chama. Hapa pigia mstari neno KUFUKUZWA CHAMA. Ni wajinga tu wataendelea kung'ang'ania chama KILICHOWAFUKUZA, na huo utakuwa mwisho wa siasa zao ukiachia mbali huru wao na kukubalika kwao ndani ya chama walichofukuzwa.
Mbona Kafulila aliomba radhi NCCR na akapaa kisiasa tokea hapo. So sio udhaifu kuomba radhi bali kujirudi tu na kutambua kosa.
haombi mtu radhi hapo,ni kamati kuu itakaa na kutafakari kwa maslahi mapana ya chama itawasamehe makamanda waoNawakumbusha tena msinyee kambi au msitukane mamba kabla ya kuvuka mto.
Wateuliwe u DC kivipi? Hao ni wabunge viti maalum toka chadema labda wajitoe chadema wajiunge CCM labda watapata uteuzi lakini haiwezekani wote 19 wapate teuzi ubunge unawatosha Sana.Labda watateuliwa uDC, hatujui, but I can speculate that this is the most likely gateway to them
Umemsikia Msekwa?Wateuliwe u DC kivipi? Hao ni wabunge viti maalum toka chadema labda wajitoe chadema wajiunge CCM labda watapata uteuzi lakini haiwezekani wote 19 wapate teuzi ubunge unawatosha Sana.