Halima Mdee na wenzako bado milango iko wazi, ‘msinyee kambi’

Bado ni wàbunge na hawataomba radhi
 
Ebu nikumbushe bado Kafulila yupo NCCR, nini kilimuondoa baada ya radhi yake?
Mkuu kuomba radhi hakuna uhusiano wowote na makosa yake ya baadae. Hatupo perfect lakini kuomba radhi ni ukomavu whether una kosa au lah
 
Mkuu kuomba radhi hakuna uhusiano wowote na makosa yake ya baadae. Hatupo perfect lakini kuomba radhi ni ukomavu whether una kosa au lah

Kuomba radhi wakati haujafanya kosa ni utumwa na ndio kinachoitesa nchi yetu tangu awamu ya tano ianze. Kila anayeupinga utawala anatakiwa awe apologetic na approve inferior kwa mtawala. Ukomavu ni kusimamia kile unachokiamini hata kama dunia mzima itakupigia kelele ukibadirishe, ukomavu ni kutokubali uonevu na kunyanyaswa ili kumlidhisha anayekuonea au anayekunyanyasa. If you don't stand for what you believe you definitely stand to lose yourself. Dangerous for yourself and others.
 
Kamati kuu iliwapa nafasi ya kuomba radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…