Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

Uchaguzi 2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

Mdee ameshaona dalili zote za kushindwa,ameamua kuanzisha siasa majitaka.

Atuwekee na clip za enzi zile gwajima anawapigia debe wao
 
Domo, ulimi, kinywa na moyo wa Gwajima kwa madhehebu mengine ndio Tatizo lake. Anatapika matapishi anayeshindwa kuyatetea.

Dhambi hii itamuadhibu Gwajima hapa hapa duniani.
Anaehukumu ni Mungu tu binadamu sio kazi yako hio.......na pia mtu anaweza akatumbu na kusamehewa dhambi zake huo ndo ukristo.....huo wa kwenu ukristo wa mabeberu ambaruti version
 
Adhabu hizi huamuliwa ndani ya ccm na hutangazwa na nec! shame! shame!
Gwajima ni tapeli na msanii na huu ndio ukweli hakuna Mungu pale na kiyama hawa ndio kuni!
 
Anaehukumu ni Mungu tu binadamu sio kazi yako hio.......na pia mtu anaweza akatumbu na kusamehewa dhambi zake huo ndo ukristo.....huo wa kwenu ukristo wa mabeberu ambaruti version
tatizo lako siku zote humu unaonyeshaga utapia mlo wako wa akili!
 
Uongozi wa nec miaka ya nyuma walijitahidi kuficha ukadawao wa mwaka huu wamejidhihirisha. Polepole akituhumu wanatekeleza
 
Tatizo la Gwajiboy ni kula kondoo wake! Pia kuwaibia waumini wake; eti mchungaji ana magari mawili aina ya Hammer (sijui kama una idea ya bei yake?), private jet, etc., wakati waumini wake husalia kwenye uwazi wakipigwa na mvua na jua, huku wakiendelea "kumtolea Bwan"a, kwa kumneemesha Gwajiboy!
Kuwa na mali kama mchungaji ni dhambi mkuu?
 
Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, amesema kuwa hajakubaliana na maamuzi ya Kamati ya Maadili ambayo yamemsimamisha kutofanya kampeni siku 7 na anaelekea Tume kuwasilisha rufaa yake.

Mdee ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa Kamati ya Maadili ilitoa hukumu bila kumsikiliza wala kusikiliza ushahidi wake aliowasilisha.

“Kwa mujibu wa tuhuma nilizopewa na Chama cha Mapinduzi kuwa namchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake, nimewasilisha ushahidi mbele ya Kamati ya Maadili lakini hawajataka kunisikiliza”, amesema Mdee.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia Oktoba 12 hadi Octoba 18 kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Acha afungiwe ,yeye sikazowea kuleta ubabe wake akae siku Saba akili imcheze
 
Halima ajikite ktk kunadi sera zake kama atakuwa na jambo jipya labda!

Asitafute huruma kupitia kuchafuliwa kwa Gwajima!

Dhahabu hata ikipakwa tope itabaki kuwa dhahabu!

Halima amefulia kisera hana jipya !
 
Halima tunataka kusikia sera zako kama utakuwa na jipya ambalo ndani ya Miaka 10 halikuonekana
 
Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, amesema kuwa hajakubaliana na maamuzi ya Kamati ya Maadili ambayo yamemsimamisha kutofanya kampeni siku 7 na anaelekea Tume kuwasilisha rufaa yake.

Mdee ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa Kamati ya Maadili ilitoa hukumu bila kumsikiliza wala kusikiliza ushahidi wake aliowasilisha.

“Kwa mujibu wa tuhuma nilizopewa na Chama cha Mapinduzi kuwa namchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake, nimewasilisha ushahidi mbele ya Kamati ya Maadili lakini hawajataka kunisikiliza”, amesema Mdee.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia Oktoba 12 hadi Octoba 18 kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Ndio uliyokuwa unayataka ayo ungenadi Sera kwenye kampeni zako yasingekukuta haya umelipata ulilokuwa unalitafuta.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Wapumbafu kabisa hao Halima ndio alimtuma aseme atageuza misikiti kuwa sunday school ? Halima ndio alimtuma ale kondoo , ila shenzi linajua kuchagua kondoo balaa.
IMG_20200920_151708.jpg
 
CCM kwa sasa inaomba usaidizi wa NEC, Police na Msajili wa vyama kuwaokoa... ni haki mbaya mno.

Ngoma ya safari hii inaondoka na mtu aisee!!
 
Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, amesema kuwa hajakubaliana na maamuzi ya Kamati ya Maadili ambayo yamemsimamisha kutofanya kampeni siku 7 na anaelekea Tume kuwasilisha rufaa yake.

Mdee ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa Kamati ya Maadili ilitoa hukumu bila kumsikiliza wala kusikiliza ushahidi wake aliowasilisha.

“Kwa mujibu wa tuhuma nilizopewa na Chama cha Mapinduzi kuwa namchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake, nimewasilisha ushahidi mbele ya Kamati ya Maadili lakini hawajataka kunisikiliza”, amesema Mdee.

Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CHADEMA, Halima Mdee amefungiwa kufanya Kampeni kwa siku saba kuanzia Oktoba 12 hadi Octoba 18 kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
Usikate tamaa Halima. alisema Gwejima kuwa madrasa zote ktk kawe angezibadilisha kuwa Sunday school. Hapo hujamdhalilisha kwani mwenyewe Gwejima alisema kwa kinywa chake. Kaza Spana Halima. Hakuna kurudi nyuma. Keep it up. Unafanya vizuri
 
Kwa taarifa yako Kamati ya Maadili inahusisha vyama vyote vinavyoshiriki kwenye uchaguzi wa 2020 ikiwemo Chadema! Sasa kama hata vyama vingine vimeona anastahiri kupigwa ban akubali tu huyo mbunge mstaafu.
Unauhakika na hilo? Adhabu zinaandaliwa kabla ya kikao na matokeo hujulikana kabla ya kikao.
 
Back
Top Bottom