Halima Mdee: Niko imara kuliko jana

Halima Mdee: Niko imara kuliko jana

Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Niko HEWANI tena.... nimepata SIMU zangu USIKU HUU ...... hakuna NENO la Shukran ninaloweza kulisema....zaidi ya ASANTE!!!!!! kwa wema,ukarimu na upendo wenu!!! Sina cha kuwalipa. Niwahakikishie.....niko IMARA KULIKO JANA.
Pole mheshimiwa...
Tumefundishwa kumshukuru Mungu Kwa kila jambo!!!
Malipo ni hapa hapa duniani...usilipe kisasi.....
JAH BLESS!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdee alitakiwa kuwa mkurya sio kwa ujasiri huo duh!
Ukimuumiza MTU unamuongezea ujasiri hadi sasa hakuna miamba ya cdm iliyokubali kuuza utu wake.Jamaa akilala juu ya jiwe kutwa kucha uwaza kuuwa upinzani kuliko kutatua shida za watz.Hakuna mwanadamu yeyeto duniani aliyefaulu kupambana Na watu akafaulu zaidi ya kuukimbiza upepo
 
chagu wa malunde, Unapomlaumu mtu kwa swala unalomzuia kulifanya hufanyi sawa sawa. Tangu baada ya uchaguzi mkuu 2015. Juhudi kubwa ya serikali kupitia vyombo vya dola na vya maamuzi, ni kuhakikisha Cdm na vyama makini vya upinzani havijijengi kitaasisi wala kisiasa. Hili nalo utajifanya hulioni ?!. Unamdhibiti mtu huku ukitaka aonyeshe mafanikio !! How?

Ufisadi kudhibitiwa ni ahadi ya serikali yoyote inayochaguliwa na kukabidhiwa mamlaka . Siyo hisani kama unavyotaka kuiaminisha jamii.

The same na hiyo miradi inayojengwa. Hizo ni kodi za wananchi na ndiyo kazi yake, kipya ni nini ?!. Na ujenzi wa taifa haukomei awamu ya tano bali utaendelea kulingana na vipaumbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kati ya CCM na CHADEMA, mungu anasikiliza dua za nani? Nauliza hivyo maana CHADEMA kutwa kucha wanajilinganisha na Yesu, mara Musa, mara wana waIsrail. Mara mungu hashindwi kitu! Lakini pia kutwa kucha madhila yanawapata CHADEMA!
Wana mungu wao anayewatuma kwenda kufanya fujo Magerezani
 
Hivi kati ya CCM na CHADEMA, mungu anasikiliza dua za nani? Nauliza hivyo maana CHADEMA kutwa kucha wanajilinganisha na Yesu, mara Musa, mara wana waIsrail. Mara mungu hashindwi kitu! Lakini pia kutwa kucha madhila yanawapata CHADEMA!
Akili zako ni bure kabisa.
 
Hizi ni kauli za kujipa moyo tu
Unatoa kauli za kijasiri,lakini ndani kwa ndani unaungua
Halima ameshakanywa na mama yake,kwa mara ya mwisho aache usela mavi
 
Odhiambo cairo,
Mbona wenzenu Cuf na Act wazalendo wanajitutumua? Hata baadhi ya ishu wanaziungumzia.
Haya mambo yanayofanyika sasa sio hisani kila mtu anajua. Hata CCM imekuwepo madarakani tangu uhuru,lakini kila awamu ilifanya kazi na kulikuwa na mapungufu yake.

Awamu hii lazima ukubali kuna changes kubwa katika kutekeleza ilani ya chama.Na hii ni sababu ya uongozi madhubuti.

Usiniambie eti kila Chama kikipewa dola kinafanya utekelezaji,sio kweli lazima muwe na viongozi wenye nia thabiti kama ilivyo sasa kwa JPM.

Bed maber.
Segese .
 
Back
Top Bottom