SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mzee Mdee ana chama,kinaitwa Chachandu, Chama Cha NdungaiBora Nape ana chama, je mzee mdee ni wachama gani?? Au ndio mbunge hasiye na chama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mdee ana chama,kinaitwa Chachandu, Chama Cha NdungaiBora Nape ana chama, je mzee mdee ni wachama gani?? Au ndio mbunge hasiye na chama?
Mmmmmmh mpinzani akutwe na kura fake kipindi cha Magu atakuwepo mtaani kweli?.Kura fake mchape wenyewe, mziweke kwenye mabegi wenyewe, mpige video kuhusu kura fake, msambaze video hizo wenyewe, na mwishowe mzichome Moto mnazoziita ni kura fake, halafu baadaye mtangaze wenyewe kuwa uchaguzi haukuwa eti huru na haki
Mjani unampeleka resi.Mdee tamaa nazo zilimjaa
Naanza na HKWabunge waliopita bila kupigwa watolewe pia bungeni.
Kura fake mchape wenyewe, mziweke kwenye mabegi wenyewe, mpige video kuhusu kura fake, msambaze video hizo wenyewe, na mwishowe mzichome Moto mnazoziita ni kura fake, halafu baadaye mtangaze wenyewe kuwa uchaguzi haukuwa eti huru na haki
Wapendwa yafaa tumsaidie Nape,Nape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
Wewe jamaa huijui CCM wewe!Kura fake mchape wenyewe, mziweke kwenye mabegi wenyewe, mpige video kuhusu kura fake, msambaze video hizo wenyewe, na mwishowe mzichome Moto mnazoziita ni kura fake, halafu baadaye mtangaze wenyewe kuwa uchaguzi haukuwa eti huru na haki
Huna akili jamaa yangu bora ukae kimya tu.Nape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
John umeanza kuzeeka ndio ubongo unafungukaNape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
Duh...tangu mwaka 2000 nimekuwa nikihusika na uchaguziWewe jamaa huijui CCM wewe!
Siku ukipata nafasi ya kuwa angalau karani mwongozaji wa wapiga kura kwenye kituo kimoja hata kama ni kijijini, au wakala wa chama chochote kwenye chumba cha kupigia kura ndo utaelewa kwamba Tz huwa hatufanyi uchaguzi.
Hahahaaaa.......!Mzee Mdee ana chama,kinaitwa Chachandu, Chama Cha Ndungai
Nape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
Nape alichaguliwa na JiweNape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
Na ndiyo wamewageuka maded tenaAlichaguliwa na ded wa jimbo la mtama
Hakika angepotezwa,au nasema uongo ndugu zangu?.Mmmmmmh mpinzani akutwe na kura fake kipindi cha Magu atakuwepo mtaani kweli?.
Vizuri.Duh...tangu mwaka 2000 nimekuwa nikihusika na uchaguzi
Nape Nnauye toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Utamnyoosheaje kidole Halima Mdee ilhali na wewe uliingia bungeni kwa utaratibu huo huo wa viti maalumu vya " Kinyemela"?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ramadhan Kareem.
Unataka nikupatie jibu gani ili likufurahishe?Vizuri.
Kwahiyo kwa muda wote huo wote ume-experience kuwa uchaguzi ni huru na wa haki?