ZZK Mbona aliendelea kulipwa hadi mwisho.Wakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....
Mkuu ukomo wa Mwenyekiti ndani ya katiba ya Chadema uko vipi?Wewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.
Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?
Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Wakubali,waombe radhi,wafikiriwe kurudishiwa uanachama wakijenge chama towards 2025Wakubali tu kuwa ukweli siku zote uta prevail tu hata ukifunikwa vipi.
Sheria ndio huamua haki na huhifadhi haki ni kwamba walichelewesha tu maamuzi ila kimsingi regardless Mbowe aliamua kuwakomoa but ndo katiba inavyotaka kuwa wasiendelee kuwa wabunge as long as sio wanachama. Huu ukweli its time waukubali.
akasagane tu sasa na shogaake mana hakuna jinsiDar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Pia, soma;
Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi
HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama ====== UPDATE: Halima...www.jamiiforums.com
====
UPDATES ;
=====
View attachment 2221245
Habari zaidi kutoka Gazetini;
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.
Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Chanzo: Mwananchi
Mpuuzi kabisa wawafuate waliowadanganya akili kama za pucWewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.
Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?
Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Naona leo akili zimekurudiaWakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....
Mkuu! Mshauri aje huku Umoja Party tusaidiane kukuza Chama, afanye kama ZZK, huko ameshatemwa anang'ang'ania kitu gani? Kabla hujafuta hiyo namba yake nitumie Mimi ili niendelee kumshawishi.Wewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.
Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?
Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Hapo ni aidha aende mahakamani Ili awe mwanachama wa mahakama au aombe radhi kama kina Membe na Kinana warudishwe..Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Pia, soma;
Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi
HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama ====== UPDATE: Halima...www.jamiiforums.com
====
UPDATES ;
=====
View attachment 2221245
Habari zaidi kutoka Gazetini;
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.
Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Chanzo: Mwananchi
Kwa hiyo kikatiba lazima wateuliwe wengine ili kuleta uwakilishi huko bungeni? Aisee dunia hii, akinyang'anywa huyu anapewa yule. Pole kwao na hongera kwa wengine wanaokuja.Sasa tunasubiria majina ya hao 19 wa mbadala hapo Chadema wasije wakaleta kutafutiana ulaji
ajabu mmeshindwa kabisa kutaja huo uhuniNdiyo maana Mahakama zipo kwa ajili ya kupambana na wahuni.
Mbunge Halima Mdee ameendelea kusisitiza yeye na wenzake 18 bado ni wanachama halali wa Chadema.
Kilichotokea kwenye kikao cha Baraza Kuu ni Uhuni.
Wabunge hao wana Haki ya Kikatiba kupinga Uhuni Mahakamani.
Hao hata bungeni hawatocheleweshwaKina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.
So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.
Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kuwa watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
In makongoro VoiceConfirmed.
Chadema imejaa wahuni.
Wahuni party hoyee.
Kwahiyo Halima na wenzake 18 ( na wale wote mliowanunua enzi za biiashara ya utumwa iliyoasisiwa na slow slow na bashiru) nao ni wahuni waliozidiwa ujanja na wahuni wenzao?Confirmed.
Chadema imejaa wahuni.
Wahuni party hoyee.
Confirmed.
Chadema imejaa wahuni.
Wahuni party hoyee.