Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho.

Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho.

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho.

Furaha yangu haijawahi kudumu bila wewe, nakupenda hauko nami ila unaishi MOYONI wangu. Tangu uniache basi sijawahi kufurahi kwa namna ile njema, furaha yangu haidumu

Upo kwenye kila kumbukumbu za mambo mema. Najua wewe una maisha mapya ya ndoto yako, ndio maana hupendi nikutafute, unatamani nikae mbali na wewe ili nisikukoshe AMANI ya moyo wako. Penye moyo wa mtu ndipo ilipo furaha take bado upo moyoni sana

Nimeshindwa kuvumilia moyo umekukumbuka sana nikaona niseme hata haya machache😢
 
Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho.

Furaha yangu haijawahi kudumu bila wewe, nakupenda hauko nami ila unaishi MOYONI wangu. Tangu uniache basi sijawahi kufurahi kwa namna ile njema, furaha yangu haidumu

Upo kwenye kila kumbukumbu za mambo mema. Najua wewe una maisha mapya ya ndoto yako, ndio maana hupendi nikutafute, unatamani nikae mbali na wewe ili nisikukoshe AMANI ya moyo wako. Penye moyo wa mtu ndipo ilipo furaha take bado upo moyoni sana

Nimeshindwa kuvumilia moyo umekukumbuka sana nikaona niseme hata haya machache😢
Ni nani huyo ulikuwa unambembeleza namna hiyo?

Mtu umshobokee af ajikaushe, inaleta picha gani?

Wahenga walisema 'mpende akupendaye, asiyekupenda achana naye'.
 
Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho.

Furaha yangu haijawahi kudumu bila wewe, nakupenda hauko nami ila unaishi MOYONI wangu. Tangu uniache basi sijawahi kufurahi kwa namna ile njema, furaha yangu haidumu

Upo kwenye kila kumbukumbu za mambo mema. Najua wewe una maisha mapya ya ndoto yako, ndio maana hupendi nikutafute, unatamani nikae mbali na wewe ili nisikukoshe AMANI ya moyo wako. Penye moyo wa mtu ndipo ilipo furaha take bado upo moyoni sana

Nimeshindwa kuvumilia moyo umekukumbuka sana nikaona niseme hata haya machache😢
Kabla ya kurusha lawama kwetu subiri uone kama huyu kocha mpya atakubali tununue mechi ili tushinde na kuwachoma sindano/madawa ya kusisimua misuli ya wachezaji wetu ama atakataa hayo mambo kama Gamondi.
"Sisi kama viongozi wa timu tuna uwezo wa kushinda mechi zote nje ya uwanja bila msada wa kocha au wachezaji"
 
"Futa huu uzii kabla sijakupiga Rungu la ugoko"

20241029_165603.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Back
Top Bottom