Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeketi Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam

Halmashauri Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wake Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeketi Leo Ikulu Jijini Dar es Salaam

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20230114-WA0293.jpg

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
IMG-20230114-WA0296.jpg

Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,

IMG-20230114-WA0297.jpg

Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
IMG-20230114-WA0299.jpg

Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,

IMG-20230114-WA0298.jpg

Wajumbe wakifurahia jambo,

IMG-20230114-WA0294.jpg

Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
 
View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.

Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,

View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,

View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,

View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Kawaida akifuatilia kikao kwa makini,
Nothing New.....Same Whine in a New Bottle!

Mambuz at Work!
 
View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.

Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,

View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,

View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,

View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
Huwa nasema kila siku, Chama ni CCM tu,

Ona walivyopendeza,
Ona walivyokaa kwa adabu,
Ona wanavyosikiliza,

Ukitaka kuamini haya nayoyasema nenda kule Ufipani ukajionee vurugu za mavazi na mikao kwenye kikao
 
Huwa nasema kila siku, Chama ni CCM tu,

Ona walivyopendeza,
Ona walivyokaa kwa adabu,
Ona wanavyosikiliza,

Ukitaka kuamini haya nayoyasema nenda kule Ufipani ukajionee vurugu za mavazi na mikao kwenye kikao
Duuh
 
View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480953
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,

View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,

View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,

View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
Naipenda CCM Mpaka naumwa
 
View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480953
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,

View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,

View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,

View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
Hili ni jambo jema haya ni maandalizi ya kufanya siasa za kistaarabu kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu
 
Hapo wenyewe wanajiona Exceptional wameishikilia nchi kiganjani! Kwenye uhalisia hamna la maana linalofanyika.
 
Humu kamati kuu naingiaje? Humo Kuna hela za tozo wanazolipa wajinga wajinga na za Ile mikopo tunayochukua china na imf!

Nipeni dili wajamen niingie kamati kuu maana kadi ya smart ya CCM ninayo!

Kiukweli mi sipendi sana chama napenda niingie nipigie hela tu.

Mi nampenda mama yangu tu!
 
Back
Top Bottom