CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Nothing New.....Same Whine in a New Bottle!View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,
View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,
View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,
View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Kawaida akifuatilia kikao kwa makini,
Mambuzi ndio akina nani Mzee?Nothing New.....Same Whine in a New Bottle!
Mambuz at Work!
Huwa nasema kila siku, Chama ni CCM tu,View attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,
View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,
View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,
View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
DuuhHuwa nasema kila siku, Chama ni CCM tu,
Ona walivyopendeza,
Ona walivyokaa kwa adabu,
Ona wanavyosikiliza,
Ukitaka kuamini haya nayoyasema nenda kule Ufipani ukajionee vurugu za mavazi na mikao kwenye kikao
Naipenda CCM Mpaka naumwaView attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480953
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,
View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,
View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,
View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
Hili ni jambo jema haya ni maandalizi ya kufanya siasa za kistaarabu kama alivyoagiza Rais Samia SuluhuView attachment 2480913
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2480953
Ndg Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa ni mwenye bashasha ameongoza kikao hicho maalum kitakachotoa dira mpya hasa baada ya mikutano ya hadhara kuruhusiwa ikiwa ni baada ya miaka sita kupita,
View attachment 2480917
Wajumbe wakifuatilia kikao kwa makini,
View attachment 2480922
Wajumbe wakiunga mkono hoja kwa pamoja,
View attachment 2480926
Wajumbe wakifurahia jambo,
View attachment 2480930
Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) akifuatilia kikao kwa makini,
Mungu ibariki CCM yetu,Hili ni jambo jema haya ni maandalizi ya kufanya siasa za kistaarabu kama alivyoagiza Rais Samia Suluhu
Hahahhaha wale vijana wa ufipa hawana maana aiseeHuwa nasema kila siku, Chama ni CCM tu,
Ona walivyopendeza,
Ona walivyokaa kwa adabu,
Ona wanavyosikiliza,
Ukitaka kuamini haya nayoyasema nenda kule Ufipani ukajionee vurugu za mavazi na mikao kwenye kikao
haha kamfufue uzikwe wewe/ lini ccm ilikuwa na jioya hapo kablaNothing New.....Same Whine in a New Bottle!
Mambuz at Work!
Wale wanapambana wapate RUZUKU tu waanze kujichanaMachadema yamebaki palepale yanapiga kwata tu.
Tatizo lako wao Kuongoza nchi?Hapo wenyewe wanajiona Exceptional wameishikilia nchi kiganjani! Kwenye uhalisia hamna la maana linalofanyika.
Alafu ukitoka kuandika hili,unatukana kimoyo kimoyo hali yako ya maisha magumuWale wanapambana wapate RUZUKU tu waanze kujichana
Chama cha mambuzi ccmMambuzi ndio akina nani Mzee?
Malaya weeeNaipenda CCM Mpaka naumwa