Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Wazee wa CCM walikuwa wanadhalilishwa na Musiba mpo kimya, Sasa walipoandika barua yao ya kufikisha malalamiko wakabadilishiwa kibao na kuonekana wazee wastaafu ndiyo Wana makosa, tunaomba mtuambie baada ya kuwaita mmechukua hatua gani? tunataka kujua pia Musiba amechukuliwa hatua gani kwa kuidhalilisha CCM na viongozi wake?
 
Kule juu walikiuka kanuni ,wale sasa si viongozi ni wastahafu,kwa hiyo walitakiwa kuitwa na kuojiwa huko katani na wala siyo taifa ,walichemka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa CCM walikuwa wanadhalilishwa na Musiba mpo kimya, Sasa walipoandika barua yao ya kufikisha malalamiko wakabadilishiwa kibao na kuonekana wazee wastaafu ndiyo Wana makosa, tunaomba mtuambie baada ya kuwaita mmechukua hatua gani? tunataka kujua pia Musiba amechukuliwa hatua gani kwa kuidhalilisha CCM na viongozi wake?
Tulia ccm hatufanyi kazi kwa mitulinga
 
Ni muda sasa tangu uongozi wa juu wa CCM uazimie kuwafanyia mahojiano makada wake watatu Yusuf Rajabu Makamba, Bernard Camillius Membe na Abdulrahman Omar Kinana.

Kinachoshangaza wengi mpaka sasa ni ukimya na kigugumizi cha viongozi wa chama hiki kikongwe nchini kuufya huku wahusika wakisubiri kwa hamu na ghamu kufanyiwa mahojiano hayo. Je, yawezekana wastaafu hawa hawana makosa ndo maana wanaogopwa?

Au viongozi walikuwa wakiwapiga mkwara tu ili kuwanyamazisha au wamebaini kuwa hawa jamaa ndani ya chama si watu wa kispotispoti?

Naomba kuwasilisha.
 
Hapo anatafutwa Membe, anatafutiwa sumu kali kuliko iliyomuondoa Kolimba na Seith Chachage.
Tatizo ni kwamba kila taarifa inavuja na Membe anaipata kabla mipango haijafanyiwa kazi.
Zambrota
 
Back
Top Bottom