Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Bhisumbinyama,
Mkuu nawe ni mmbeya! Kila wakati unaulizia lini nampiga mke wangu! Yanakuhusu nini?
Waache CCM wanajua ya kwao, hangaika na ya kwako!
 
Hawa lazima tuwafuatilie hatua kwa hatua kwa kuwa kwa sasa chama chao ndo kina ridhaa ya kutawala hivyo wakifanya ujinga unatuhusu na wakifanya mazuri tunanufaika. Ndo kwa sasa wanakusanya kodi zetu hao.
 
Kwa kweli hujafa, hujaumbika...
 
Kuna ndani ya CCM kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana, nani aliota Kinana na Bashte kufanya kazi pamoja leo
 
Hapo zamani🤣
Siyo zaman, ni majuzi tu hawa walikuwa na Mgogoro na JPM. Mama aliamua kuishi na wanafiki.

JPM alisingiziwa meng sana na wanafiki hawa. Nchimbi mda wowote atatolewa na Polepole kupewa CHAMA. Pinda Makamu Mwenyekiti. 2025 Mama anapumzika Hussein Mwinyi anachukua hatamu mpaka 2035. JPM OYEYEEEEE!
 
Kumbe Hawa watu kuyumbisha Viongyna usaliti ni kawaida Yao,Kwa nini isiwe nitolee Jumla?
 
Nikajua ni habari mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…