Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Watashitakiwa kwa makosa ya ufisadi na kutakatisha fedha na uhujumu uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wewe hutaki hawa wazee waende mbinguni!Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?
Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
Makamba has one thing to lose - the political position of his son. Remember after submitting their complaints letter to the retired speaker, Makamba's son was immediately terminated from the office as minister. So if he shows any kind of arrogance of not responding to the calling.. He will truly know who the chairman is. For the political future of February, let big-ropes respond positively to the party's demand.Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?
Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kachero yupo juu ya siasa za vyama? inavyoonekana loyalty ya kachero ipo kwa nchi, siyo chama cha siasaMembe hakuna mwenye ubavu wa kumhoji ndani wala nje ya chama. Wanatapatapa bure. Membe ni level nyingine kabisa. KACHERO
Watapoteza tu damu ya kijani jambo ambalo litakuwa ni blessing in disguise maana damu ya binadamu itawarudia pamoja na akili zao za kutambua mema na mabaya.Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?
Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?
Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo jamaa nje ya CCM ni kama samaki nje ya maji...hata biashara zao kwa walijituyumua na kuanzisha biashara nazo zinalindwa na CCM....#shigongoalipwehakiyakeKwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
Usalit upi? Alimtukana tusi gani? be objective with evidence! vinginevyo utawekwa kwenye kundi la watu wa hovyo ever!Afadhali hata Tundu Lissu, kama asinge fanya vitendo vyake vya kusaliti nchi na kumtukana Rais angekuwa candidate mzuri sana wa kugombea Urais. Nasikitika kwa ujinga wake wa kuto kuwajua binadam vizuri walivyo amejiharibia mwenyewe.
usimsahau na baba yako ni ccmKwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
Hawa wataenda kuhojiwa na watasamehewa. Hii ni drama in real life.Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?
Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.
Sent using Jamii Forums mobile app