Mkuu viwanja hizo pande vinauzwaje na vina ukubwa gani.Ni balaaa
Serekalini kuna wahuni pia,hii inatisha sana sijui tukimbilie wapi ili tupate msaada stahiki!!
Vina changamoto gani kiongozi, kwani nami nimeshawishika kupata kimoja nisije nikaingia mkengeMim nilichagua kwenye mfumo kabda sijalipia nikaenda kuangalia duuh hapana viwanja hivyo nikaacha vinachangamoto ndio maana hadi leo havijaisha kununuliwa