Halmashauri ya Ilemela yaelekeza wafanyabiashara soko la Sabasaba kutupa takataka barabarani

Halmashauri ya Ilemela yaelekeza wafanyabiashara soko la Sabasaba kutupa takataka barabarani

GPMe

New Member
Joined
Jul 8, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Halmashauri ya Ilemela mkoani Mwanza imelekeza uongozi wa soko la Sabasaba lililopo maeneno ya Kiseke kutupa takataka barabarani baada ya eneo walilokuwa wanatumia awali kupewa mwekezaji. Takataka hizo zinatupwa barabarani katika makazi ya watu na karibu na mama ntilie kitendo kinachoweza kusababisha magonjwa ya milipuko
Screenshot_20230707_123835_Video_Player[1].jpg
Screenshot_20230707_123759_Gallery[1].jpg
 
Back
Top Bottom