Halmashauri ya Ilemela yaelekeza wafanyabiashara soko la Sabasaba kutupa takataka barabarani

GPMe

New Member
Joined
Jul 8, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Halmashauri ya Ilemela mkoani Mwanza imelekeza uongozi wa soko la Sabasaba lililopo maeneno ya Kiseke kutupa takataka barabarani baada ya eneo walilokuwa wanatumia awali kupewa mwekezaji. Takataka hizo zinatupwa barabarani katika makazi ya watu na karibu na mama ntilie kitendo kinachoweza kusababisha magonjwa ya milipuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…