Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Endeleeni kulalamika na kukaza mafuvu acheni wenye akili watumie fursa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tuendelee kukata mauno tuEndeleeni kulalamika na kukaza mafuvu acheni wenye akili watumie fursa.
Huyu kazidi.Endeleeni kulalamika na kukaza mafuvu acheni wenye akili watumie fursa.
Katia timu mpaka nyumbani aisee.Mkuu home kwenu huko wewe sabaya na mbusii Chaliifrancisco
Sisi acha tuendelee kufungua gesti kwa wingi huku tukikata maunoHawa jamaa wanajuwa kuutumia mali asili na kupiga hela
Ova
Hapo ndio siri ilipoHawa jamaa wanajuwa kuutumia mali asili na kupiga hela
Ova
Tuchanganye na bamping kabisaSisi tuendelee kukata mauno tu
Ova
Hivi hii carbon credit inafanya kazi namna gani? Rostam anapata nini kwenye huu uwekezaji? Na hivyo vijiji haviwezi kuwekeza vyenyewe?Kumbe lissu aliongea ukweli... waarabu na bi Hangaya wameamua wapitie nyuma ya Rostam.
Mtu anawekeza mln 100 afungue bar sjui lounge apige mzikiSisi acha tuendelee kufungua gesti kwa wingi huku tukikata mauno
Hata nyie mnaruhusiwa kuwekeza mapori yamejaa Tanzania.Huyu kazidi.
Almost kila mahali katia mkono.
Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka.
Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris.
Marejeo na maboresho ya mkataba huu yatafanyika kila baada ya miaka 5 ili kuendana na mahitaji ya wakati huo.
Liquor store ndio uwekezaji wetu tunaweza na kujivunia nao.Mtu anawekeza mln 100 afungue bar sjui lounge apige mziki
Tunabanana mjini tu
Sinzaaa tabata yote imejaaa viwanda vya bar na magesti
Ova