Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanajuwa kuutumia mali asili na kupiga hela
Ova
ChapMama misambano na harakati zake za kuiuza tanganyika
Ohoo. Nimejaribu kupitia explanation for dummies kwa haraka, kumbe siyo kama Rostam atavuna kipato bali njia ya ku-contribute kwenye upunguzaji wa uchafuzi wa mazingira.Kumbe lissu aliongea ukweli... waarabu na bi Hangaya wameamua wapitie nyuma ya Rostam.
Tuwe na tahadhari kwenye kujadili hili. Hajanunua hizo sehemu. Ni kama njia ya kuchangia uhifadhi wa mazingira.Halmashauri ya Longido imeipa View attachment 3012921View attachment 3012922View attachment 3012923View attachment 3012924familia ya akina Rostam mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon offset Kwa miaka 15 kwa malipo ya Tsh 10m Kwa kila pori kwa mwaka.
Hii hela hapa Arusha haupati hata kiwanja cha Mita 15x10.
😄 sisi tunawekeza kwenye kukata mauno na uchawa tuKama kawaida mimbulula ya kibongo, tunauzwa sijui wanatupiga
Kama huna millioni 30 kwa mwaka kwa miaka 15 = millioni 450
Funga domo lako, na kama unayo nenda na wewe ukawekeze,
Mbali na mil. 10 itakayolipwa kwa kila pori, halmashauri ya Longido itanufaikaje tena?Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka.
Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris.
Marejeo na maboresho ya mkataba huu yatafanyika kila baada ya miaka 5 ili kuendana na mahitaji ya wakati huo.
Rostam huyu huyu aliyeshindwa kuwapa misaada jimboni kwake igunga leo ajafanye charity job longido?Ohoo. Nimejaribu kupitia explanation for dummies kwa haraka, kumbe siyo kama Rostam atavuna kipato bali njia ya ku-contribute kwenye upunguzaji wa uchafuzi wa mazingira.
Rostam huyu huyu aliyeshindwa kuwapa misaada jimboni kwake igunga leo ajafanye charity job longido?Ohoo. Nimejaribu kupitia explanation for dummies kwa haraka, kumbe siyo kama Rostam atavuna kipato bali njia ya ku-contribute kwenye upunguzaji wa uchafuzi wa mazingira.
Budget ya TFS na NEMC kwa mwaka ni zaidi ya billion 100 hiyo tsh milllion kumi si ni sawa na kikombe cha chai baharini kwenye gharama za kutunza.Kama kawaida mimbulula ya kibongo, tunauzwa sijui wanatupiga
Kama huna millioni 30 kwa mwaka kwa miaka 15 = millioni 450
Funga domo lako, na kama unayo nenda na wewe ukawekeze,
Mkuu hii siyo charity per se. Makampuni na viwanda vikubwa vinalazimika kufanya hili ili kuonyesha kuwa wanajali utunzaji wa mazingira. Kwa hiyo nadhani kuwa kampuni yoyote inapofanya hivyo, kuna benefits inapata kwenye ufanyaji biashara wake.Rostam huyu huyu aliyeshindwa kuwapa misaada jimboni kwake igunga leo ajafanye charity job longido?
Tena kwa longido ukame ulikuwa unapamba moto,Acha waletewe huko hiyo hewa ukaaKazi nzuri uwekezaji Safi kwa maendeleo.