Halmashauri ya Longido yaipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit kwa miaka 15

Watasema kwa sababu TFS awawezi hiyo shughuli ni Rostam Aziz na waarabu pekee ndio wanajua sana kutunza misitu na kufanya ‘Carbon trade’.

Bado meli tu ya kuja kutubeba ghalfa watanzania tushauzwa kama vibarua nchi za kiarabu, bila ya sisi wenyewe kujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…