The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwani saizi inavyoyamiliki inanufaikaje? 51% ya Tzn ni mapori ni wewe tuu chagua pori uwekeze.Mbali na mil. 10 itakayolipwa kwa kila pori, halmashauri ya Longido itanufaikaje tena?
Meli ya nini mkuu, wakati tunatakiwa kuwa vibarua tukiwa hapahapa tunapopaita kwetu kwa jina tu basi!Watasema kwa sababu TFS awawezi hiyo shughuli ni Rostam Aziz na waarabu pekee ndio wanajua sana kutunza misitu na kufanya ‘Carbon trade’.
Bado meli tu ya kuja kutubeba ghalfa watanzania tushauzwa kama vibarua nchi za kiarabu, bila ya sisi wenyewe kujua.
Umeandika vyema, ila sikubaliani na lawama unazotutwisha.Wote humu mnaweza kutengeneza pesa through carbon credits market, sasa educate yourself how the market works and pay sio kugombana na kulaumu tuu, pesa ipo na hata kama hamna ardhi mnaweza kuwa madalali kama Rostam alivyofanya, nimeangalia kwa haraka per acre market averages 10-16$, kazi kwenu
Huenda CCM itafaidika kwa kupata pesa za kampeni chini ya nipe nikupe.Halmashauri ya Longido imeipa familia ya Rostam Aziz mapori 3 kwa uwekezaji wa Carbon credit wa miaka 15 kwa malipo ya Tsh. Milioni 10 kwa kila pori kwa mwaka.
Mkataba huo umesaniwa na Akram Azizi ambaye ni Director wa kampuni iliyoingia mkataba huo ya Kilombero North Safaris.
Marejeo na maboresho ya mkataba huu yatafanyika kila baada ya miaka 5 ili kuendana na mahitaji ya wakati huo.
Umeeleweka mkuu, lakini maisha especially kwenye yanayohusu pesa usitegemee wakuletee mezani na serikali yetu CCM imekaa kipigaji sana wanapeana insiders tuu, na kiukweli NGOs nyingi tuu zinapiga pesa hapo TZ kwa carbon credit market ila wengi hawajui, mkoa wa Kagera wapo wanalipa mamilioni wakulima, ila one thing for sure watu wakifanya homework yao hii market ipo na pesa zipoUmeandika vyema, ila sikubaliani na lawama unazotutwisha.
Kazi yoyote ni kuwa na uelewa nayo, na pa kuanzia ni jukumu la viongozi kujuwa fursa zilipo na kuwapa uwezo na motisha wananchi wake wazifanye kazi hizo.
Mtu huwezi kujua kitu bila kujuwa kitu hicho kipo, na viongozi wetu wapo pale kutuongoza katika yote haya.
Sasa kwa mfano, chukulia hili la Halmashauri ya Longido. Wilaya nzima ile hakuna watu, kundi au ushirika wa watu wanaoweza kujielimisha na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi?
Maisha ni zaidi ya Tabata, na kwa hapa Manhattan-New York hiyo ni pesa ya parkingHivi kumbe milioni 10 ni nyingi kiasi hiki, mbona Tabata hiyo pesa hupati hata uchochoro wa kujenga choo?
Walijuwa kwani?Kwann hio halmashauri wao wasivune direct hio pesa ya caborncredit toka USA
Jamaa wanajuwa kutafuta mipangoKuna watu wanacheka kwa kulia
Yaani 10m hii hii ya mshahara mmoja wa nje?
Jamaa wanajua kutu wind up