hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yaani 2000 tu una lalamika , wakati waweza kukuta hiyo 2000 unatumia kufanyia Mambo ya hovyo tu,
Yaani kutoa 2000 ili ukomboe maisha yako ya dhiki unashindwa, Unataka kusema haufahamu kuwa maisha ni Vita na kupigania opportunity sindio, !? Mjomba labda nikukumbushe this is Africa Kama hautaki kutoa hiyo 2000 acha ubaki na njaa zako
Yaani kutoa 2000 ili ukomboe maisha yako ya dhiki unashindwa, Unataka kusema haufahamu kuwa maisha ni Vita na kupigania opportunity sindio, !? Mjomba labda nikukumbushe this is Africa Kama hautaki kutoa hiyo 2000 acha ubaki na njaa zako