Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ofisi ya Kata ya Mpera yawatoza Tsh 2000 Vijana wanaotuma barua za maombi ya kazi za ukusanyaji wa Anuani za Makazi

Kumbe ni mjumbe ndo alitaka hiyo elfu tatu na sio ofisi. Amka usingizini maana wengine hatuchajishwi hata mia tunapoenda ofisi hizo.
 
Kuuza na kununua mashamba ama nyumba kuna asilimia inakatwa kwa mnunuzi na muuzaji inaenda serikalini sio mifukoni mwa VEO,WEO wala mwenyekiti wa mtaa.

Hilo nimelifanya sana kwakuwa nimeuza na kununua viwanja.
Una Akili timamu?
 
Ni vita isiyohitaji rushwa maana wewe ukiwa na uwezo wa kutoa rushwa halafu mwingine akawa hana huoni unamnyima haki yake ya kikatiba?
 
Kubishana kila MBUGIRA anaweza.

Sema, akikataa UTAFANYAJE ?

Toa suluhisho
Anakataa kwa misingi ipi? Kama amekataa kwasababu sina sifa hilo ni sawa ila akikataa kwasababu sijampa elfu mbili ambayo ni kinyume na ethics zake basi ntaenda ngazi inayofuata kutoa malalamiko yangu ikibidi hata TAKUKURU maana ndo kazi yao ku deal na rushwa ndogo na kubwa.
 
Halmashauri ipi?
Kwamba hujui wenyeviti wote wa mitaa na vijiji kama wanalipwa posho kwenye halmashauri zao husika nchi nzima?

Hata juzi msisitizo wa waziri wa tamisemi kwamba posho za wenyeviti wa mitaa na vijiji zilipwe kwa wakati hukulisikia?

Basi kama hata hili hulijui ni tatizo pia. Nilijua naonhea na mtu ambaye yupo updated na mambo kama haya kumbe siyo.
 
Huna unachojua.

Na kibaya zaidi unajifanya UNAJUA.
 
Unakuwa kama mwanamke mswahili kulalamika kila kitu.Tuseme wewe kwa umri wako hujawahi kufanya kazi na mtendaji? Hujui kama kuna hela ya muhuli?
 
Ya Leo hii hio, kumbe we ndo hujui kitu unabisha tu uonekane





View attachment 2130000
Unajua kusoma? Kama unajua, hebu rudia tena kusoma maoni ya huyo jamaa yako halafu soma na taarifa ya Bashungwa uone kama ziko sawa.
 
Umeshawahi kufanya kazi na Watendaji Kata na Vijiji hata siku moja?
Nilifanya field mara mbili kama mtendaji wa kata na mtaa kwa hali niliyoiona ofisini ni haki tu kuombwa ela na hao watendaji maana vitendea kaz vingi huwa hawapewi zaidi ya kutoa wao ela zao mfukoni ili kuendesha ofisi
 
Kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake, ili mradi asivimbewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…