Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tupieni jicho Shule ya Msingi Kibisi, hii miundombinu sio rafiki

Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tupieni jicho Shule ya Msingi Kibisi, hii miundombinu sio rafiki

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Shule ya Msingi Kibisi iliyopo Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya haipo katika hali ya kuridhisha kutokana na baadhi ya majengo yake yanayotumiwa na Wanafunzi kuwa chakavu sana.

Nimepita katika shule hiyo mara kadhaa na nimekuwa nikiumia sana kuona hali hii, nashauri Serikali ifanye maboresho kabla hayajaleta shida.
DSC_0834.JPG

DSC_0835.JPG

DSC_0837.JPG

DSC_0027 (1).JPG
 
Hiyo shule ni 'English medium' kabisa......shule ipo vizuri sana......hebu tembea zaidi ujionee.
 
Wanajua kiongozi wao Hana habari Wala hajui kinachoendelea,utakuta kumepelekwa zaidi ya mil 400 hapo na wajanja wametafuna.wale kwa urefu hamna namna
Kuna muda ni ngumu sana kwa Tanzania.

Unaweza kuwa sahihi,Raisi akapeleka 400M,lakini je tunataka Rais afuatilie kila jambo?
Wizara husukia ina Waziri,Naibu(2),Katibu,chini yao kuna Maafisa kibao ...mkoa una Mkuu wa mkoa ambaye wanajinadi ni Rais wa Mkoa,kuna Mkuu wa Wilaya,Afisa Elimu Mkoa,Wilaya,Kata.

Mimi nasema kila siku,Watanzania tuna roho mbaya sana hasa baadhi ya viongozi,mfano wa hapo kwenye hiyo Wilaya yenye Shule kama hiyo.
Na ukute hapo walitoa hela ya kumchangia Mama kuchukua fomu.

Nilibahatika kwenda Zanzibar,b4 Mama kuwa raisi na Mwinyi na sasa aisee...kuna kiasi kule watu wapo serious na shule zao.

Juzi hapo imezinduliwa Shule ya Msingi kali sana,na wanasema kwa aiana ya shule zile imetumia 4Billion.

Na zitajengwa nyingi sana kwa mfano ule.

Juzi tu hapa kuna taarifa Shule ya Wasichana Mbeya haijaisha mpaka sasa,Wakati Shule ya wasichana zengine zimekamilika na zipo vyema.

Mama wa watu akiwa mkorofi ataitwa kama ilivyokuwa kwa Baba wa watu Magufuli.

Wachawi ni sisi wenyewe.Tuna mengi ya kuandika hapa...
 
Back
Top Bottom