Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

Right Way In Light

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2024
Posts
1,322
Reaction score
3,461
Sababu kubwa ni kwamba ofisi ilikuwa Ilala na sasa imehamia Temeke na leseni yangu ambayo bado iko active nilikuWa sijai-relocate. Na nimehamia hapa mwezi huu kwa hiyo hilo zoezi nilikuwa njiani kulifanya ila wao wameniwahi na hawataki kuelewa kila napowapa maelezo.

Wamemchukua mhasibu wangu na wanazunguka nae tu kwenye gari kuchukua wafanyabiashara wengine, wamefanya sana harrasment mpaka kufikia hatua ya kumpokonya simu binti yangu kiasi kwamba akawa analia.

Niko njiani naelekea huko.

Naomba ushauri, je ninatakiwa kuchukua hatua gani ili kupata haki yangu Kisheria maana siko tayari kuona hili linapita hivi hivi.

Ushauri wenu wakuu!
Natanguliza shukrani zangu
 
Sababu kubwa ni kwamba ofisi ilikua Ilala na sasa imehamia temeke na leseni yangu ambayo bado iko active nilikua sijai relocate. Na nimehamia hapa mwezi huu kwahiyo hilo zoez nilikua njian kulifanya ila wao wameniwah na hawataki kuelewa kila napowapa maelezo

Wamemchukua muhasibu wangu na wanazunguka nae tu kwenyw gari kuchukua wafanya biashara wengine, wamefanya sana harrasment mpaka kufikia hatua ya kumpokonya simu bint yangu kiasi kwamba akawa analia.

Niko njian naelekea huko

Naomba ushauri, je ninatakiwa kuchukua hatua gani ili kupata haki yangu Kisheria maana siko tayar kuona hil linapita hiv hivi.

Ushauri wenu wakuu!!
NAtanguliza shukrani zangu
Siku ukiambiwa maandamano shiriki
 
Sababu kubwa ni kwamba ofisi ilikua Ilala na sasa imehamia temeke na leseni yangu ambayo bado iko active nilikua sijai relocate. Na nimehamia hapa mwezi huu kwahiyo hilo zoez nilikua njian kulifanya ila wao wameniwah na hawataki kuelewa kila napowapa maelezo

Wamemchukua muhasibu wangu na wanazunguka nae tu kwenyw gari kuchukua wafanya biashara wengine, wamefanya sana harrasment mpaka kufikia hatua ya kumpokonya simu bint yangu kiasi kwamba akawa analia.

Niko njian naelekea huko

Naomba ushauri, je ninatakiwa kuchukua hatua gani ili kupata haki yangu Kisheria maana siko tayar kuona hil linapita hiv hivi.

Ushauri wenu wakuu!!
NAtanguliza shukrani zangu
Una kampuni, au biashara unahisi mfanya wako kafanyiwa harassment na watu wa council na hujui cha kufanya kweli mkuu wangu? Basi pole.
 
Njia waliyoitumia hao watu wa Halmashauri sio sahihi, na haitakiwi kuwachekea.

Unaweza ukawapa kesi kwamba wamekuibia ama kukupora Mali na vitu vya Thamani ikiwemo hiyo simu ya Binti yako wa kazi

Adhabu Kwa watu wasio na leseni ya biashara zipo wazi Kwa mujibu wa Sheria, ikiwemo kumpa muda wa kulipia, kumpa faini ama kufungia biashara yake

Ushauri wangu, nenda ukate leseni ya eneo husika.


Kama biashara yako ipo Temeke, Kata leseni ya Temeke.

Kama ipo Ilala, nenda ukate ya Ilala.
 
Njia waliyoitumia hao watu wa Halmashauri sio sahihi, na haitakiwi kuwachekea.

Unaweza ukawapa kesi kwamba wamekuibia ama kukupora Mali na vitu vya Thamani ikiwemo hiyo simu ya Binti yako wa kazi

Adhabu Kwa watu wasio na leseni ya biashara zipo wazi Kwa mujibu wa Sheria, ikiwemo kumpa muda wa kulipia, kumpa faini ama kufungia biashara yake

Ushauri wangu, nenda ukate leseni ya eneo husika.


Kama biashara yako ipo Temeke, Kata leseni ya Temeke.

Kama ipo Ilala, nenda ukate ya Ilala.
Lesen ninayo ninatakiwa kufuatilia barua toka ilala kuonyesha kuwa biashara kwasasa imehama kisha wai relocate isome Temeke
 
Back
Top Bottom