Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

Sababu kubwa ni kwamba ofisi ilikuwa Ilala na sasa imehamia Temeke na leseni yangu ambayo bado iko active nilikuWa sijai-relocate. Na nimehamia hapa mwezi huu kwa hiyo hilo zoezi nilikuwa njiani kulifanya ila wao wameniwahi na hawataki kuelewa kila napowapa maelezo

Wamemchukua mhasibu wangu na wanazunguka nae tu kwenye gari kuchukua wafanyabiashara wengine, wamefanya sana harrasment mpaka kufikia hatua ya kumpokonya simu binti yangu kiasi kwamba akawa analia.

Niko njiani naelekea huko

Naomba ushauri, je ninatakiwa kuchukua hatua gani ili kupata haki yangu Kisheria maana siko tayari kuona hili linapita hivi hivi.

Ushauri wenu wakuu!!
Natanguliza shukrani zangu
Mkuu hao wanachotaka ni hela wanazoita faini(rushwa) ukishawapa hizo hata usipolipia leseni watakupa muda wa kutosha tu

Kuna mmoja alikuja kwangu namimi nilikuwa na tatizo kama lako sema mimi ni same district different ward ukimuelekeza anasema "mimi nataka ela tu hapa" kiufupi ni wahuni wanaotaka maendeleo kwa upigaji
 
Mkuu hao wanachotaka ni hela wanazoita faini(rushwa) ukishawapa hizo hata usipolipia leseni watakupa muda wa kutosha tu

Kuna mmoja alikuja kwangu namimi nilikuwa na tatizo kama lako sema mimi ni same district different ward ukimuelekeza anasema "mimi nataka ela tu hapa" kiufupi ni wahuni wanaotaka maendeleo kwa upigaji
Wahuni kupitilizaa
 
Mkuu, Pole Kwa maswahibu unayopitia.

Kwa nchi yetu hii kufanya biashara Bila kashi kashi Ni changamoto. Nikuombe utumie busara katika hili. Hao watu wa halmashauri huwa Ni wahuni Sana.

Unaweza kuwashtaki ukiamua, ila naona utapoteza Hela na muda tu. Ukizingatia Hao jamaa wakikuamulia Iyo biashara inaweza isisimame.

Mkuu, kuwa tu mpole ww ndo umeshukia makali. Fanya wanavyotaka wao ili maisha yaendelee Kwa Amani.
 
Mkuu, Pole Kwa maswahibu unayopitia.

Kwa nchi yetu hii kufanya biashara Bila kashi kashi Ni changamoto. Nikuombe utumie busara katika hili. Hao watu wa halmashauri huwa Ni wahuni Sana.

Unaweza kuwashtaki ukiamua, ila naona utapoteza Hela na muda tu. Ukizingatia Hao jamaa wakikuamulia Iyo biashara inaweza isisimame.

Mkuu, kuwa tu mpole ww ndo umeshukia makali. Fanya wanavyotaka wao ili maisha yaendelee Kwa Amani.
Ahsante kwa ushaur chief, na kwel nilifikanoale baada ya kufikiri, nikaona acha niwe mpole tu, nikamalizana nao kiungwana
 
Na kwel ni kugawana umasikini tu maana fedha za ku force namna hii ni aawa na kukaba tu
Wapuuzi sana hao, hao dawa yao ukiwa haupo fit hakikisha unasoma upepo wakija unasepa yaani wakimbie tu ukitoka hapo kafuatilie hilo kosa chap ili wakija wakose cha kupatia rushwa maana hizo faini hata haziingii serikalini
 
katika manispaa yenye mfumo mbovu wa kukusanya mapato ni TEMEKE na sijui kwanini wanapewa uhuru namna hii. na kuna wale was*ng wa wrong parking.... hao kuna siku nitawafurahisa iwe funzo
Wamedanya fujo sana ofisin jana mpaka bint yangu kamwaga machoz anapiga simu analia, wakambeba kwenye gari kisha wakanza kuzunguka nae mitaan kuchukua wafanya biashara wengine ,ndio mimi kukimbia sasa kwenda huko
 
Sababu kubwa ni kwamba ofisi ilikuwa Ilala na sasa imehamia Temeke na leseni yangu ambayo bado iko active nilikuWa sijai-relocate. Na nimehamia hapa mwezi huu kwa hiyo hilo zoezi nilikuwa njiani kulifanya ila wao wameniwahi na hawataki kuelewa kila napowapa maelezo

Wamemchukua mhasibu wangu na wanazunguka nae tu kwenye gari kuchukua wafanyabiashara wengine, wamefanya sana harrasment mpaka kufikia hatua ya kumpokonya simu binti yangu kiasi kwamba akawa analia.

Niko njiani naelekea huko

Naomba ushauri, je ninatakiwa kuchukua hatua gani ili kupata haki yangu Kisheria maana siko tayari kuona hili linapita hivi hivi.

Ushauri wenu wakuu!!
Natanguliza shukrani zangu
Wanataka rushwa hapo alafu na hao ni watendaji wa serikali baadae mtakuja kufuangua nyuzi za kuwasema vijana kuwa sio waaminifu ila mnaweza kuona tulipo kama taifa hali ni hiyohiyo kwenye sehemu nyingi nchini.

Hiko kilikuwa kitu cha kumuelekeza mtu kuwa anaweza kufanya hata online na akapata leseni kupitia tausi ila watendaji wenyewe sasa hawathubutu kukwambia hiko kitu.
 
Wanataka rushwa hapo alafu na hao ni watendaji wa serikali baadae mtakuja kufuangua nyuzi za kuwasema vijana kuwa sio waaminifu ila mnaweza kuona tulipo kama taifa hali ni hiyohiyo kwenye sehemu nyingi nchini.

Hiko kilikuwa kitu cha kumuelekeza mtu kuwa anaweza kufanya hata online na akapata leseni kupitia tausi ila watendaji wenyewe sasa hawathubutu kukwambia hiko kitu.
Katika taasisi zenye maadili ni TFS kwasababu wakikukuta huna leseni muda huohuo wanakupa control namba hawahitiji rushwa Wala nini
 
Siku ukiambiwa maandamano shiriki
huo ni ujuha.huwez kumlazimisha mtu akaandamane kwa utashi wako. maandamano ni vita lazima anayeenda awe amejiandaa kisakorojia anajua kabisa naenda naweza nisirud au narudi ila nimeumia au unaacha yatima n.k n.k.mwezjio kasema yaliomsibu kybord warrior unaleta masihara.yan
 
Back
Top Bottom