Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

Halmashauri ya Temeke wamemnyanyasa muhasibu wangu ofisini wangu kisa leseni, nataka kuchukua hatua, nifanyeje?

KWani kukata leseni bei gani? Mbona ujizungushe kote huko?
 
huo ni ujuha.huwez kumlazimisha mtu akaandamane kwa utashi wako. maandamano ni vita lazima anayeenda awe amejiandaa kisakorojia anajua kabisa naenda naweza nisirud au narudi ila nimeumia au unaacha yatima n.k n.k.mwezjio kasema yaliomsibu kybord warrior unaleta masihara.yan
Dah kwel mkuu, maisha yetu yenyewe haya ya kuunga unga familia inakutegemea bado wakakutie ulemavu kwa kuandamana hapo sasa si unakua umeongeza tatizo?
 
huo ni ujuha.huwez kumlazimisha mtu akaandamane kwa utashi wako. maandamano ni vita lazima anayeenda awe amejiandaa kisakorojia anajua kabisa naenda naweza nisirud au narudi ila nimeumia au unaacha yatima n.k n.k.mwezjio kasema yaliomsibu kybord warrior unaleta masihara.yan
Ujuha ni kudhani umeandika hoja
 
Back
Top Bottom