Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
HakikaKatika taasisi zenye maadili ni TFS kwasababu wakikukuta huna leseni muda huohuo wanakupa control namba hawahitiji rushwa Wala nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaKatika taasisi zenye maadili ni TFS kwasababu wakikukuta huna leseni muda huohuo wanakupa control namba hawahitiji rushwa Wala nini
Dah kwel mkuu, maisha yetu yenyewe haya ya kuunga unga familia inakutegemea bado wakakutie ulemavu kwa kuandamana hapo sasa si unakua umeongeza tatizo?huo ni ujuha.huwez kumlazimisha mtu akaandamane kwa utashi wako. maandamano ni vita lazima anayeenda awe amejiandaa kisakorojia anajua kabisa naenda naweza nisirud au narudi ila nimeumia au unaacha yatima n.k n.k.mwezjio kasema yaliomsibu kybord warrior unaleta masihara.yan
Mkuu nina leseni 3 na zote ziko valid mpaka 2025KWani kukata leseni bei gani? Mbona ujizungushe kote huko?
Wenye akili huwaza zaidi ya hapoTatizo maandamano mengi sababu zake kuu hua ni maslahi ya mwanasiasa Fulani
Ujuha ni kudhani umeandika hojahuo ni ujuha.huwez kumlazimisha mtu akaandamane kwa utashi wako. maandamano ni vita lazima anayeenda awe amejiandaa kisakorojia anajua kabisa naenda naweza nisirud au narudi ila nimeumia au unaacha yatima n.k n.k.mwezjio kasema yaliomsibu kybord warrior unaleta masihara.yan