BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Haina shida..tunaendelea kujifunzaAsante sana kwa kunirekebisha ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina shida..tunaendelea kujifunzaAsante sana kwa kunirekebisha ndugu
Mambo ni mengi hatuwezi kuyafahamu yote..Jf ni sehemu ya shuleMtu hajui yupo chini ya mamlaka gani
Hizi picha mbona ni za Lagos Nigeria?Nikiwa kama mwananchi nimeona nitumie jukwaa hili maana naamini wahusika wengi wapo humu na wengi wanaweza saidi kupaza sauti.
Nimepita eneo la Sinza kumekucha karibu na kanisa la KKKT kiukweli hali ya usalama wa afya ni mbaya kwa wakazi hao.
Nilifanya mahojiano na baadhi ya wakazi wa maeneo hayo nini kimewasibu wakasema yapata kama miezi 2 gari la kuzoa taka hawajawahi kuliona licha ya kuwa wanalipa pesa ya huduma hiyo.
Nikawauliza je mmeshatembelea ofisi za Serikali ya mtaa majibu niliyopewa ni kuwa mwenyekiti na katibu wamekuwa wakiwapa majibu tofauti mmoja anasema linakuja tangulia mwingine anajibu gari haliji tena.
Nikajiuliza sasa kama hakuna gari kwanini waasitafute tenda nyingine , mwananchi mmoja akanijibu kuwa wameambiwa mpaka tenda ya huyu wa sasa iishe mwakani ndiyo watatafuta mtu mwingine.
Ifike mahala wale wa mikokoteni waachiwe kazi hii maana watu wapo tayari kulipia huduma lakini mzoaji hayupo mwisho wa siku nachelea au naogopa kama wakiamua kuziacha barabarani na hali hii ya mvua ni hatari kwa miundo mbinu lakini npia na magonjwa ya mlipuko.
Nimemabatanisha picha katika moja ya mtaa unaitwa Chuma nyuma ya kanisa la KKKT sizna kumekucha.
View attachment 2822917View attachment 2822918View attachment 2822919View attachment 2822920View attachment 2822916
Pole sanaMambo ni mengi hatuwezi kuyafahamu yote..Jf ni sehemu ya shule