Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Kila mwaka hawa wakurugenzi walio wengi wanakutwa na tuhuma za ubadhilifu wa fedha za umma kwenye halmashauri zao.
Swali: jeuri hii wanaipata wapi? Na aliyewateua mbona kama anawagwaya hivi? Nionavyo mimi ni kuwa wakiondolewa kwenye kusimamia uchaguzi mkuu, ndipo tatizo hili litapungua au kuisha kabisa. Au wasiwe wateule wa Rais, waombe hizo kazi na kusailiwa.
Swali: jeuri hii wanaipata wapi? Na aliyewateua mbona kama anawagwaya hivi? Nionavyo mimi ni kuwa wakiondolewa kwenye kusimamia uchaguzi mkuu, ndipo tatizo hili litapungua au kuisha kabisa. Au wasiwe wateule wa Rais, waombe hizo kazi na kusailiwa.