Hahaha! kila mtu kampenda mtu tofauti kwenye lile tangazo,ngoja tumsikie mzee atakaempenda mama mtu.Aisee mie yule baba wa binti ndio huwa ananikosha.anatabasamu zuri sana lenye kumtoa nyoka pangoni.yaan nataman ningekuwa infii wake maana yule mzee anajua kubembeleza.angekuwa ananiambia 'chanda chema huvishwa pete mpnz'