Checnoris
Senior Member
- Aug 21, 2022
- 123
- 269
Kampuni hii haipendagi kusema Chochote na Wala hamuna Kawaida ya kutuma mimeseji miiiingi kama makampuni mengine. Kuna jambo lipo kimyakimya muwe mnasema.
Yaani kama ni kukakata mnakata tu, yaani inaitwa kukata juu kwa juu furushi zenu. Sawa nimekubaliana na Hilo.
Je, wiki nzima Sasa mnakatikakatika, yaani ni kupotea na kurudi mnaingia na kutoka, mnazama na kuibuka, yaani ukiutama mnara una panda na kushuka.
Hata Masuala ya teknohama, yamewasibu nini. Jiangalieni ikiwa DSM hivi mikoani itakuaje???umekubwa na nini, Si mseme msaidiwe??
Yaani kama ni kukakata mnakata tu, yaani inaitwa kukata juu kwa juu furushi zenu. Sawa nimekubaliana na Hilo.
Je, wiki nzima Sasa mnakatikakatika, yaani ni kupotea na kurudi mnaingia na kutoka, mnazama na kuibuka, yaani ukiutama mnara una panda na kushuka.
Hata Masuala ya teknohama, yamewasibu nini. Jiangalieni ikiwa DSM hivi mikoani itakuaje???umekubwa na nini, Si mseme msaidiwe??