I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Salaam
Kuna vitu siku hizi sivielewi na huu mtandao. Nimeviona mara kadhaa nikabaki kujiuliza na sina jibu. Unanunua bando la internet ila hawa washenxi wanakula bando lako zaidi ya 30% hujui limeenda wapi.
Kuna watu watakuja kuniambia simu yangu kuna app zinarun kwenye background!. Hili ni HAPANA. Jambo hili nalijua na huwa siruhusu kitu hiko ila taabu iko palepale.
Mfano leo; nilinunua bando la 500 la mb 245. Nikashusha file la mb 111.78 tu. Cha kushangaza ni kwamba eti naambiwa mb nilizobakiwa nazo ni 48 tu. Hizo nyingine wamezipeleka wapi. Hapa hiyo page niliyoingia nimeenda direct kwenye download section b'coz nilishaiandaa kabla. Hakukuwa na Ad ya aina yoyote ile.
Daah kwa nini wafanye hivi tuwalipe bado wanaona wanachotupa kama wametupendelea sana wanachukua bila ruhusan. Jambo hili liangaliwe upya.
Kuna vitu siku hizi sivielewi na huu mtandao. Nimeviona mara kadhaa nikabaki kujiuliza na sina jibu. Unanunua bando la internet ila hawa washenxi wanakula bando lako zaidi ya 30% hujui limeenda wapi.
Kuna watu watakuja kuniambia simu yangu kuna app zinarun kwenye background!. Hili ni HAPANA. Jambo hili nalijua na huwa siruhusu kitu hiko ila taabu iko palepale.
Mfano leo; nilinunua bando la 500 la mb 245. Nikashusha file la mb 111.78 tu. Cha kushangaza ni kwamba eti naambiwa mb nilizobakiwa nazo ni 48 tu. Hizo nyingine wamezipeleka wapi. Hapa hiyo page niliyoingia nimeenda direct kwenye download section b'coz nilishaiandaa kabla. Hakukuwa na Ad ya aina yoyote ile.
Daah kwa nini wafanye hivi tuwalipe bado wanaona wanachotupa kama wametupendelea sana wanachukua bila ruhusan. Jambo hili liangaliwe upya.