Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaMitandao yote ya simu ni ile ile. Ukitaka unafuu tumia fiber au rooter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaMitandao yote ya simu ni ile ile. Ukitaka unafuu tumia fiber au rooter
Kwa hapo nyuma, saivi kwanza ikifika jjon wanaslow speed au kupoteza network kisha wakirejesha huduma inasoma salio la Mb limeisha, unajiuliza net ilipokuwa slow kumbe ni sababu walikuwa kufyonz bundle kila simu iliyo onMmmmh kuna vitu mnajiunga bila kujua MBn Halotel wapi og
Hawa wavietnum Sasa wameshakuwa kama ccm TU!Wiki ya tatu Sasa niki weka bando la GB 4 la wiki yaan linaisha ndan ya siku Moja tu😤😤,ukiangalia sijaingia popote pale panapo kula mb Zaid ya mjini fb na WhatsApp tu.
Huu wizi mtapoteza wateja sana,kwann msiache mteja atumie mb zake mwenyewe ad ziishe kama zamani 🤔🤔
MN Wana ujanja wa kenge kumbeeKwa hapo nyuma, saivi kwanza ikifika jjon wanaslow speed au kupoteza network kisha wakirejesha huduma inasoma salio la Mb limeisha, unajiuliza net ilipokuwa slow kumbe ni sababu walikuwa kufyonz bundle kila simu iliyo on
Hayo majiziWiki ya tatu Sasa niki weka bando la GB 4 la wiki yaan linaisha ndan ya siku Moja tu😤😤,ukiangalia sijaingia popote pale panapo kula mb Zaid ya mjini fb na WhatsApp tu.
Huu wizi mtapoteza wateja sana,kwann msiache mteja atumie mb zake mwenyewe ad ziishe kama zamani 🤔🤔
Zuia background use of data , kuna app zinakula bando lako hata kama hujazifungua .Wiki ya tatu Sasa niki weka bando la GB 4 la wiki yaan linaisha ndan ya siku Moja tu😤😤,ukiangalia sijaingia popote pale panapo kula mb Zaid ya mjini fb na WhatsApp tu.
Huu wizi mtapoteza wateja sana,kwann msiache mteja atumie mb zake mwenyewe ad ziishe kama zamani 🤔🤔
Acha TU comredy!!!Umechelewa kujua pole sana mm nilishawahama uda tu angalau Tigo kidgo.
Unajua natumia line gan ad useme ivyoMmmmh kuna vitu mnajiunga bila kujua MBn Halotel wapi og
YaanZuia background use of data , kuna app zinakula bando lako hata kama hujazifungua .
Suhisho ni kuzuia
Yaan umepita mule mule ukizima data ukija kuwasha hakuna bandoKwa hapo nyuma, saivi kwanza ikifika jjon wanaslow speed au kupoteza network kisha wakirejesha huduma inasoma salio la Mb limeisha, unajiuliza net ilipokuwa slow kumbe ni sababu walikuwa kufyonz bundle kila simu iliyo on
Unajua natumia kias gan kwenye net mkuu?weka vocha ndugu wacha porojo bando si kupauwa kwamba ukiweka umeweka
Je setting za simu yako, hakuna app zinzorun background?! au autoupdates??Wiki ya tatu Sasa niki weka bando la GB 4 la wiki yaan linaisha ndan ya siku Moja tu😤😤,ukiangalia sijaingia popote pale panapo kula mb Zaid ya mjini fb na WhatsApp tu.
Huu wizi mtapoteza wateja sana,kwann msiache mteja atumie mb zake mwenyewe ad ziishe kama zamani 🤔🤔