Hama hama ya viongozi wa CHADEMA inarudisha nyuma hamasa ya vijana kuupambania upinzani

Kama Mdee na Bulaya walienda, me sidhani kama upinzani wanamaanisha wanachokipigania.
 
Ndo hapo ata mimi nashangaa!! badala ya watu kuchukia mifumo na kuamua kusuka upya system za mihimili yetu ya kiserikali wao wanabaki kushabikia watu na vyama hao wote ni walewale kitakacho weza kuwamanage ni mifumo tutayoichagua ili iwacontrol kwa faida ya nchi.
 
Wakenya kwenye masuala ya kufuatilia miziki, mipira, msambwanda, mtandao bado wako chini mno watanzania wapo bize mno kwenye hizo sekta.
Tazama vizuri takwimu zako, mkuu.
Wakenya wako mbele ya Watz kwenye hayo mambo yote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…