Hama hama ya watangazaji wa radio za Bongo, maana yake ni nini!?

Hama hama ya watangazaji wa radio za Bongo, maana yake ni nini!?

Efm ingeckika na mikoani ingekuwa vzr maana clouds mi nasikiliza michezo tu
 
Imeniuma sn dj sinyorita na mam baby kwenda clouds.IPP kuna shida gan pale? m namiin kwa mtaji IPP wako njema zaid ya hao Clouds iweje leo radio za IPP znapwaya kiasi hiki,Mengi jirekebishe walipe vizuri na uwape mikataba minono wafanyakazi wako muda cio mrefu naona anguko la IPP km ilivyotokea kwa sahara media miaka kadhaa iliyopita.

Tahadhar kwa wamiliki wengine wa radio mkiona clouds wameanza kumsifia mfanyakaz wa kituo chenu jueni jmaa wana negotiate naye.

Km wiki kadhaa nlimsikia kusaga anamuelezea sinyorita km mwanafunz wa dj pq.

Jman fanyeni ushindani katika industry ya radio na sio kubweteka kizembezembe tu.Narudia imeniuma sn kwangu EA radio ndo radio yang pendwa,niishie tu hapa.
 
Mtangazaji anavuta wasikilizaji-- wasikilizaji wanapaisha kipindi-- kipindi kilichopaa kinavuta advertisers-- advertisers means money to radio station!

But all in all, hiyo ni win-win situation! Mtangazaji anafaidika na radio inafaidika! Kwanza Mtangazaji anafaidika na dau la "kuvutwa" toka radio moja kwenda nyingine lakini kubwa zaidi, COMMISSION ya matangazo!!
 
Watangazaji sasa wanabadilisha vituo kama team za soccer.

Gadner katoka Efm kaenda Clouds.

PJ na Hando wametoka Clouds wameenda Efm.

Jabir saleh na Bi Hindu wametoka Times fm wameenda Efm.

Dj Senyorita na Mami wametoka East Africa radio wameenda Clouds.

Kuna tetesi Clouds sasa wanamtaka Kitenge kwa pesa yoyote anayotaka, Kitenge akichukuliwa na Clouds Shafii amesema ataondoka na Efm wanataka kumchukua kwa pesa ndefu.

Ni mwendo wa kutangaziana dau.

Hapa haieleweki ni jeuri ya pesa?

Stunt za kuongeza kusikilizwa?

Tasnia chovu ya utangazaji inakua?

Nani anaefaidika na hii game?

Au umjini mjini?

Efm wanakwambia huu mchezo hauitaji hasira!

Tusubirie kuona mwisho wa huu mchezo au labda ndio mwanzo wa sinema.

Mjini kuzuri sana!

Shafii Dauda kufanya kazi na Maulid Kitenge ni sawa na kumwambia Mbuzi aliyenona akapige stori barazani na Chui mwenye njaa.
 
Sijasikiliza redio siku nyiingi!!, toka enzi za kipindi cha "mazungumzo baada ya habari" na "mikingamo"
 
Imeniuma sn dj sinyorita na mam baby kwenda clouds.IPP kuna shida gan pale? m namiin kwa mtaji IPP wako njema zaid ya hao Clouds iweje leo radio za IPP znapwaya kiasi hiki,Mengi jirekebishe walipe vizuri na uwape mikataba minono wafanyakazi wako muda cio mrefu naona anguko la IPP km ilivyotokea kwa sahara media miaka kadhaa iliyopita.

Tahadhar kwa wamiliki wengine wa radio mkiona clouds wameanza kumsifia mfanyakaz wa kituo chenu jueni jmaa wana negotiate naye.

Km wiki kadhaa nlimsikia kusaga anamuelezea sinyorita km mwanafunz wa dj pq.

Jman fanyeni ushindani katika industry ya radio na sio kubweteka kizembezembe tu.Narudia imeniuma sn kwangu EA radio ndo radio yang pendwa,niishie tu hapa.
Kweli hapo kuna shida. Nimesikitika. EA ndio radio yangu.
 
Back
Top Bottom