Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Wiki hii Rais wa marekani ametoa taarifa kuwa ikiwa Hamas haitawaachia mateka wa Israel jumamosi mchana watavunja makubaliano na kuanzia mashambulizi.

Hamas imetoa taarifa rasmi kuwa haitafuata sharti hilo kutoka kwa Rais Trump. Huu ni mtego wa kwanza kwa Rais Trump tusubiri tuone.

Screenshot_20250213-060215.png
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.


Wewe kwa uandishi huu, ni nini ambacho una uhakika una uelewa nacho? Maana hata kuandika tu, tena kwa Kiswahili hujui!! Watoto wa darasa la 4 waliofunfishwa vizuri wana uwezo wa kuandika vizuri zaidi kuliko ulnavyoandika. Umewahi kusoma hata elimu ya msingi?

Tafuta shule au hata walimu binafsi angalao wakufundishe tu Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Madrasa haifanyi mtu aelimike, eleweni sana nyie watu

Piga shule kijana wa Mohamed acha ujinga
 
Kwanini hawa wanajeshi wa hamasi huwa wanaficha surazao
Wanaogopa kushughulikiwa na Mossad na mashirika mengine ya kijasusi..
Lakini pia Kwa kuficha sura wanapoamua kukimbia hapo kwao wanataka kuwaaminisha wengine kwamba wao si combatant bali wakimbizi
 
Wiki hii Rais wa marekani ametoa taarifa kuwa ikiwa Hamas haitawaachia mateka wa Israel jumamosi mchana watavunja makubaliano na kuanzia mashambulizi.

Hamas imetoa taarifa rasmi kuwa haitafuata sharti hilo kutoka kwa Rais Trump. Huu ni mtego wa kwanza kwa Rais Trump tusubiri tuone.

View attachment 3234803
Sawa reporter mkuu wa Hamas unaye-report kutoka Tanzania unayezungumza lugha ya Kiswahili. Trump kama alivyosema, tayari Jordan ataanza kuwapokea wakimbizi wapalestine hivi karibuni
Hivi waarabu (waislamu) kwenye elimu, teknolojia, afya n.k wapo nyuma ndiyo watajua kuwa Marekani ni nani.
Hapo ulipo unatumia tumia software za Marekani. Hiyo simu, Marekani akisema azime android yake. Maandamano dunia nzima
 
Sawa reporter mkuu wa Hamas unaye-report kutoka Tanzania unayezungumza lugha ya Kiswahili. Trump kama alivyosema, tayari Jordan ataanza kuwapokea wakimbizi wapalestine hivi karibuni
Hivi waarabu (waislamu) kwenye elimu, teknolojia, afya n.k wapo nyuma ndiyo watajua kuwa Marekani ni nani.
Hapo ulipo unatumia tumia software za Marekani. Hiyo simu, Marekani akisema azime android yake. Maandamano dunia nzima
Wewe na ukristo wako unanufaika vipi na hayo maendeleo ya kiteknolojia unayojinasibisha nayo? Hii teknolojia inauzwa au tunatumia Bure.unaonekana una IQ ndogo sana
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Una elim duniyah shekhe?
 
Back
Top Bottom