Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Mnadanganya watu uko kwenye Vijiwe vyenu mnaviita kanisa sawa uko mtajuana wenyewe!!! lkn mlivo mizwazwa mnakuja na JAMII FORUMS kuleta ujinga uwongo propaganda kutoka kwenye vijiwe vyenu uku
tutawachana mchana kweupe Akuna pakujifichia
Jamii forum ya watu Wote mkitaka kujitekenya na kucheka Wenyewe fanyie Ujinga wenu uko kwenye Vijiwe Vyenu na mizwazwa yenu!!!
Umu muwe Tayali kupigwa za USO. Mtu yoyote akisoma UZi wa uyu anajiita Bams
utagundua ni mfanya propaganda zakitoto zileee za zama zileee viwete Watatembea vipofu wataona viziwi watasikia propaganda za ovyo ovyo

kwenye zama mpya Dunia imekuwa kijiji, Uko Israel kwenyewe mnawaomba mungu wao kwenyewe kuna walemavu kuna masikini !!!!
Pasuka ijulikane!

Au vaa bom mkuu ujilipue, bila shaka hawakujui!
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Lakini mkuu si HAMAS wana Allah muweza wa yote kuliko hizo air defence?
 
Wamerekebisha wap. Unaweza kutuambia mpaka muda huu zimeingiq gar ngap kat ya zilizohtajika mkuu
Kuna kubishana na kuna Ukweli ni upi tangu jana AL jazeera wanatangaza nakuonesha molori yanavoingia GAZA adi zile nyumba za kuama!!! mobile house
Safi zikipita kuingia GAZA,, naww unajua Hamas ilitoa Sababu kwann inagomea kuachia Mateka Sasa Israel imeachia Malori kama ilivotakiwa ulitakaje HAMAS wafanye zaid ya kutoa Habari mpya kuwa J.mosi itaendelea kuachia Mateka!!!

Sasa wenzetu mnataka kudai HAMAS imeogopa kipigo!!! Haaaaa ivi nyinyi ni Wasaalifu sana kuwa Msingi wa kusitishwa vita ivi ni NETANYAHU kukubali Hamas walichotaka!!!!!

Nacho nikuachia Wapalestina uko Israel wanaposhikiliwa na molori ya maitaji kwa watu Wa GAZA!! Leo tena mnadai Hamas inaogopa kipigo awakuogopa Wkt wa Vita waje kuogopa Sasa!!

Angezuiya malori tuone kama kuna mateka angeachiwa!!! Hamas wanafaamika Wanamisimamo awayumbi.,,
 
Sasa hiki mbona ni kichekesho.
Kichekesho kwako lkn Waliojifunika ndio IDF inawaofia sana Jamaa Wanaficha adi mikono yao Adui katatizika anataka kujua awa Wanajesh kutoka Wapi

mbona Wananiaibisha mbele ya ulimwengu yani nilijua ni HAMAS tu sasa mbona kumbe Kuna Mijibaba mbavu za Hatari na Wanajificha uko kwenye Mapango Wamebaki wangapi awa !!!

ndio mana IDF hiii Vita kachapika sana lazima wajiulize awa sio Makomando wa Misri!! Hatari sana!! Sana vijana wao wengi Wamekufa

Hilikuwa Hatari IDF kutembea Tembea .mitaani apo GAZA IDF wakifa wao nao wanaenda kuuwa raia Wakawaida ndio mana Vifo pia vya Wapalestina vingi sana!!!...
 
Anadanganya nini?
Mimi nikiandika Jumbe majibu yanakuwa umo umo kumuusu mtu uyo anajiita Bams!!
mtu yoyote anaweza Fatilia Jumbe zake na ata Akianzisha Uzi mala nyingi kajielekeza kufanya propaganda za kidini!!! Yani ni muuongo muongo ivi. Pengine ajiilekebishe sasa!!!!.
 
Kuna kubishana na kuna Ukweli ni upi tangu jana AL jazeera wanatangaza nakuonesha molori yanavoingia GAZA adi zile nyumba za kuama!!! mobile house
Safi zikipita kuingia GAZA,, naww unajua Hamas ilitoa Sababu kwann inagomea kuachia Mateka Sasa Israel imeachia Malori kama ilivotakiwa ulitakaje HAMAS wafanye zaid ya kutoa Habari mpya kuwa J.mosi itaendelea kuachia Mateka!!!

Sasa wenzetu mnataka kudai HAMAS imeogopa kipigo!!! Haaaaa ivi nyinyi ni Wasaalifu sana kuwa Msingi wa kusitishwa vita ivi ni NETANYAHU kukubali Hamas walichotaka!!!!!

Nacho nikuachia Wapalestina uko Israel wanaposhikiliwa na molori ya maitaji kwa watu Wa GAZA!! Leo tena mnadai Hamas inaogopa kipigo awakuogopa Wkt wa Vita waje kuogopa Sasa!!

Angezuiya malori tuone kama kuna mateka angeachiwa!!! Hamas wanafaamika Wanamisimamo awayumbi.,,
Bro malor yalikuwa yanapita tangu mwanzo shida ni idadi. Vitu vyote walivyosema hamas hakuna hata kimoja kilichofanyiwa kaz kwa taarifa yako vimebaki vile vile.
 
Nanufaika nayo kwasababu ni teknolojia ambayo imetengenezwa na makafiri. Wewe ambaye una IQ kubwa ya dini ya mudi. Metengeneza nini mpaka sasa zaidi ya?
1. Quran
2. Mkojo wa ngamia
3. Maji ya zamzam
4. Kibaghrashia
5. Tende
7. Kisima cha kujitawazia
8. Kuwaita watu makafiri
9. Msikiti
Kanisa halihusiki hapo mbona unajitoa ufahamu kijana
 
Kanisa halihusiki hapo mbona unajitoa ufahamu kijana
Nenda Mang'ola barazani ndiyo utaona maajabu ya waislamu na waarabu kwa ujumla. Kule ni kijijini ni mkoa wa Arusha, wilaya ya Karatu. Ukifika pale
Kuna kanisa kubwa na pembeni kuna hospitali ya kanisa na ukitembea mita chache kuna msikiti mkubwa, kisima cha kujitawazia na madrasa. Ndiyo ujue waarabu hawana akili
 
Wewe kwa uandishi huu, ni nini ambacho una uhakika una uelewa nacho? Maana hata kuandika tu, tena kwa Kiswahili hujui!! Watoto wa darasa la 4 waliofunfishwa vizuri wana uwezo wa kuandika vizuri zaidi kuliko ulnavyoandika. Umewahi kusoma hata elimu ya msingi?

Tafuta shule au hata walimu binafsi angalao wakufundishe tu Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
Mimi nimemuelewa tena wewe akili ndogo ndio unahaingaika kuprocess
 
Bro malor yalikuwa yanapita tangu mwanzo shida ni idadi. Vitu vyote walivyosema hamas hakuna hata kimoja kilichofanyiwa kaz kwa taarifa yako vimebaki vile vile.
Leta sources
 
Back
Top Bottom