Pasuka ijulikane!Mnadanganya watu uko kwenye Vijiwe vyenu mnaviita kanisa sawa uko mtajuana wenyewe!!! lkn mlivo mizwazwa mnakuja na JAMII FORUMS kuleta ujinga uwongo propaganda kutoka kwenye vijiwe vyenu uku
tutawachana mchana kweupe Akuna pakujifichia
Jamii forum ya watu Wote mkitaka kujitekenya na kucheka Wenyewe fanyie Ujinga wenu uko kwenye Vijiwe Vyenu na mizwazwa yenu!!!
Umu muwe Tayali kupigwa za USO. Mtu yoyote akisoma UZi wa uyu anajiita Bams
utagundua ni mfanya propaganda zakitoto zileee za zama zileee viwete Watatembea vipofu wataona viziwi watasikia propaganda za ovyo ovyo
kwenye zama mpya Dunia imekuwa kijiji, Uko Israel kwenyewe mnawaomba mungu wao kwenyewe kuna walemavu kuna masikini !!!!
Au vaa bom mkuu ujilipue, bila shaka hawakujui!