Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Hamas: Hatutafuata masharti ya Rais Trump kuwaachia mateka siku ya Jumamosi mchana

Wewe kwa uandishi huu, ni nini ambacho una uhakika una uelewa nacho? Maana hata kuandika tu, tena kwa Kiswahili hujui!! Watoto wa darasa la 4 waliofunfishwa vizuri wana uwezo wa kuandika vizuri zaidi kuliko ulnavyoandika. Umewahi kusoma hata elimu ya msingi?

Tafuta shule au hata walimu binafsi angalao wakufundishe tu Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.
Siku zote ukitwa zwazwa Sababu kichwani kwako kumejaa ujinga nmm Wanafiki wafanya propaganda kama ww nitabaki kuwaumbua popote nionapo Uzi wenu wakipuuzi Mnaitumia JAMII FORUMS kama kikanisa cha propaganda!!!!! Mizwazwa mzigo kwa taifa
 
Mnadanganya watu uko kwenye Vijiwe vyenu mnaviita kanisa sawa uko mtajuana wenyewe!!! lkn mlivo mizwazwa mnakuja na JAMII FORUMS kuleta ujinga uwongo propaganda kutoka kwenye vijiwe vyenu uku
tutawachana mchana kweupe Akuna pakujifichia
Jamii forum ya watu Wote mkitaka kujitekenya na kucheka Wenyewe fanyie Ujinga wenu uko kwenye Vijiwe Vyenu na mizwazwa yenu!!!
Umu muwe Tayali kupigwa za USO. Mtu yoyote akisoma UZi wa uyu anajiita Bams
utagundua ni mfanya propaganda zakitoto zileee za zama zileee viwete Watatembea vipofu wataona viziwi watasikia propaganda za ovyo ovyo

kwenye zama mpya Dunia imekuwa kijiji, Uko Israel kwenyewe mnawaomba mungu wao kwenyewe kuna walemavu kuna masikini !!!!
 
Mnadanganya watu uko kwenye Vijiwe vyenu mnaviita kanisa sawa uko mtajuana wenyewe!!! lkn mlivo mizwazwa mnakuja na JAMII FORUMS kuleta ujinga uwongo propaganda kutoka kwenye vijiwe vyenu uku
tutawachana mchana kweupe Akuna pakujifichia
Jamii forum ya watu Wote mkitaka kujitekenya na kucheka Wenyewe fanyie Ujinga wenu uko kwenye Vijiwe Vyenu na mizwazwa yenu!!!
Umu muwe Tayali kupigwa za USO. Mtu yoyote akisoma UZi wa uyu anajiita Bams
utagundua ni mfanya propaganda zakitoto zileee za zama zileee viwete Watatembea vipofu wataona viziwi watasikia propaganda za ovyo ovyo

kwenye zama mpya Dunia imekuwa kijiji, Uko Israel kwenyewe mnawaomba mungu wao kwenyewe kuna walemavu kuna masikini !!!!
Anadanganya nini?
 
Wameshindwa mwaka na miaz 5 Tramp puto marakani imejaa ardhi tupu kibao pia Palestina imekubali kuwe na mataifa 2 lkn Ubabe wa mlokole PUTO kwa watu zaifu zaifu awana air defence systems yoyote ndio ulokole wake kaoteshewa Israel kubwa kupitia Wazaifu masikini

uyo mungu wa mlokole yule atakuwa Shetani sio mungu!!! Palestina inasema Tusigombee ardhi kuudwe mataifa 2 Israel apana Marekani nayo apana wapalestina Wafanye nini zaid ya kushika mtutu Wafe wao lkn wavamizi nawao Wafe ardhi kwa DAMU sio pesa !!!

Kama sio Hamas leo hii pengine Palestina ingeshafutwa mana eti marakani ndio alikuwa mtafuta Amani mkuu leo uyouyo ndio anaitaka Gaza na Wapalestina waondoke apo!!!!

Hamas awakuwai kutaka upumbavu wa mazungumzo ya kutafuta eti Amani ili kuudwe mataifa 2 wkt Israel kila siku anaimega ardhi ya Palestina wanayoimiliki afu uyouyo anakuzuga na mazungumzo uko Marekan!!!!

Hamas wakaja kuzuiya upumbavu huuu kila ukija upande wao wasiojua hiii vita ya sasa chanzo ni iki iki Israel ilianza fujo zake za Ubabe mpakani na Gaza ikitaka kumega ardhi

kukatokea mtafaruku toka apo ikawa ubabe wa apa na pale ndio Hamas ikapanga ile kitu ilikuwa August adi September ndio unaona kikawaka 7 October mana HAMAS awataki upumbavu kwenye maeneo yao

kufa ndio kufa tu lkn heshima muimu kwako nyumbani kwako,, je waisrael wasingewafuata Hamas kuwachokoza tangu ile August Hamas wasingepanga lile shambulizi leo vifo ivi 45000 na uko uko Israel sijui 2000 au 5000 wanajua wao lkn je wote awa wasingekufa

lkn upumbavu wao ubabe wao ndio umewafikisha waisrael ata iwe 1000 tu lkn wamekufa DAMU zao zimeenda milele amina sasa

walichopata akuna kwenye vita ndio unaona wanataka kutafuta ushindi wa lazima tena kuitumia Marekani iyoiyo mpatamishi mkuu wa mgogolo!!!! kwann wasikubali kuudwe mataifa mawili kumshinda Shetani mpenda Damu za watu

vita ikisimama Israel sijui wataenda wapi kuuiba ardhi mana kila mwaka wanajenga nyumba kwenye maeneo ya Palestina pande zote Israel ukingo wa Magharibi ndio zaid kwasasa

lkn kwa ubabe wao wakataka wakachukue na kipande Gaza ndio aya yamewatokea kachapika sana kazika sana ndio wajue galama ya ardhi ama sio. GAZA ya moto wataamia ukouko kwest bank!!Kuiba ardhi lkn uko pia sasa Hamas kashajisogeza kule pia kuna vifo pande zote kenge bila sikio kutoka DAMU aelewi kitu. Ardhi kwa DAMU asubui njema.
Nikishaona hii ID najua ni Shudu miksa pumba
 
Una elim duniyah shekhe?
Sasa Baada kuona nimekuwa mwiba kwenu sasa mmeamua kujifichia kwenye kichaka cha uandishi !!!!!!!

Bado uko mbele mtaongeza na elimu bahari!!! Lkn nipo nanyi hii ndio Jamii forum muwe wapole jehova!!!!!!
 
Washalegea wamesema jmos wanawaachia hostages
 
Wiki hii Rais wa marekani ametoa taarifa kuwa ikiwa Hamas haitawaachia mateka wa Israel jumamosi mchana watavunja makubaliano na kuanzia mashambulizi.

Hamas imetoa taarifa rasmi kuwa haitafuata sharti hilo kutoka kwa Rais Trump. Huu ni mtego wa kwanza kwa Rais Trump tusubiri tuone.

View attachment 3234803
Kama wanajiamini kiasi hicho mbona wanaficha nyuso zao...Pumbavu
 
Wewe na ukristo wako unanufaika vipi na hayo maendeleo ya kiteknolojia unayojinasibisha nayo? Hii teknolojia inauzwa au tunatumia Bure.unaonekana una IQ ndogo sana
Nanufaika nayo kwasababu ni teknolojia ambayo imetengenezwa na makafiri. Wewe ambaye una IQ kubwa ya dini ya mudi. Metengeneza nini mpaka sasa zaidi ya?
1. Quran
2. Mkojo wa ngamia
3. Maji ya zamzam
4. Kibaghrashia
5. Tende
7. Kisima cha kujitawazia
8. Kuwaita watu makafiri
9. Msikiti
 
Kama wanajiamini kiasi hicho mbona wanaficha nyuso zao...Pumbavu
Tatizo sio wanaojificha!! tatizo kuwe na Taifa Huru la Palestina ndio utaona tena mtu kaficha nyuso yake!!

Ilo tatizo la Israel yeye anataka Wale tuwaone kama migambo au Magaidi lkn ikiudwa Taifa huru manake Watakuwa na JESH huru

sasa NETANYAHU
+ Israel wanagomea awataki kusikia kabisa!! Kwaiyo wale lazima Wajifiche pengine ni kutoka UK au Misri Russian china au uko uko Israel awataki wafaamike kama Wanasaidia Palestina!!!!
 
Nanufaika nayo kwasababu ni teknolojia ambayo imetengenezwa na makafiri. Wewe ambaye una IQ kubwa ya dini ya mudi. Metengeneza nini mpaka sasa zaidi ya?
1. Quran
2. Mkojo wa ngamia
3. Maji ya zamzam
4. Kibaghrashia
5. Tende
7. Kisima cha kujitawazia
8. Kuwaita watu makafiri
9. Msikiti
Mlokole uyo bin jehova ndio jibu lake!!!!@ afu wanajiona wanajua kenge maji awa!!!
 
Washalegea wamesema jmos wanawaachia hostages
Kwani Hamas walisema tu awatowaachia au Walisema wao wanagomea kuwaachia kwasababu tena KWASABABU kadhaa wa kadhaa ikiwa Israel italekebisha ayo kwanini Wasiwaachie na ndio walikubaliana ivyo uko Qatar tatizo nI Israel ilipindisha kilichomo kwenye mkataba sasa wamejilekebisha kwanini Hamas wasiendelee na Mkataba wao????
 
Kwani Hamas walisema tu awatowaachia au Walisema wao wanagomea kuwaachia kwasababu tena KWASABABU kadhaa wa kadhaa ikiwa Israel italekebisha ayo kwanini Wasiwaachie na ndio walikubaliana ivyo uko Qatar tatizo nI Israel ilipindisha kilichomo kwenye mkataba sasa wamejilekebisha kwanini Hamas wasiendelee na Mkataba wao????
Wamerekebisha wap. Unaweza kutuambia mpaka muda huu zimeingiq gar ngap kat ya zilizohtajika mkuu
 
Tatizo sio wanaojificha!! tatizo kuwe na Taifa Huru la Palestina ndio utaona tena mtu kaficha nyuso yake!!

Ilo tatizo la Israel yeye anataka Wale tuwaone kama migambo au Magaidi lkn ikiudwa Taifa huru manake Watakuwa na JESH huru

sasa NETANYAHU
+ Israel wanagomea awataki kusikia kabisa!! Kwaiyo wale lazima Wajifiche pengine ni kutoka UK au Misri Russian china au uko uko Israel awataki wafaamike kama Wanasaidia Palestina!!!!
Sasa hiki mbona ni kichekesho.
 
Back
Top Bottom